Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Kufuatia taarifa za kukamatwa kwa karatasi za kupigia kura zilipigwa tayari huko Tunduma, sasa ni dhahiri kuwa vituo 52,000 vilivyotangazwa na NEC huenda kuna vituo ambavyo vinatarajiwa kupokea kura hizo haramu.
Hili halina ubishi kwani ni lazima hizo kura zilizokwisha wekewa tick zipate vituo ili ziingie kwenye utaratibu wa kawaida.
CHADEMA wanatakiwa kuhakikisha wanaanda mawakala 52,000 bila kujali gharama kwa kupoteza nafasi hii nyeti.ITAKUWA hasara kubwa sana kwa mstakari wa demokrasia Tanzania kama wataacha baadhi ya vituo kuweka wakala.
Chadema waelewe kuwa watanzania sasa wameamua kufanya mabadiliko, na wajibu kwa watanzania ni kupiga kura na kulinda kura.Kwa upande mwingine chadema wanawajibu wa KUWEKA MAWAKALA 52,000 kusimamia zoezi hili nyeti.
Kama itatokea chadema wasiweke wakala katika baadhi ya vituo ndani ya Tanzania wajue watakuwa hawajawatendea haki wapiga kura ambao kwa hiari ya wanaendelea kusikiliza sera za chadema na wamezikubali, na wako tayari kumpa kura nyingi DR.SLAA ili akabidhiwe ofisi kuu za magogoni hapo Nov mosi.
Nimeongea na jamaa yangu huko Shinnyanga a.k.a shy town ameniambia kuwa watu wa shinyanga wanasema mwaka huu DR.SLAA ndiyo atajua nini maana shinyanga.Miaka yote CCM wamekuwa wakivuna kura nyingi ila wanasisitiza wanataka mawakala waaminifu.
CHADEMA LAZIMA WAEPUKE HII LAWAMA YA KUTOWEKA WAKALA KWA BAADHI YA VITUO KWANI WATANZANIA HAWATAWAELEWA.
CHAGUA CHADEMA CHAGUA MAENDELEO
Hili halina ubishi kwani ni lazima hizo kura zilizokwisha wekewa tick zipate vituo ili ziingie kwenye utaratibu wa kawaida.
CHADEMA wanatakiwa kuhakikisha wanaanda mawakala 52,000 bila kujali gharama kwa kupoteza nafasi hii nyeti.ITAKUWA hasara kubwa sana kwa mstakari wa demokrasia Tanzania kama wataacha baadhi ya vituo kuweka wakala.
Chadema waelewe kuwa watanzania sasa wameamua kufanya mabadiliko, na wajibu kwa watanzania ni kupiga kura na kulinda kura.Kwa upande mwingine chadema wanawajibu wa KUWEKA MAWAKALA 52,000 kusimamia zoezi hili nyeti.
Kama itatokea chadema wasiweke wakala katika baadhi ya vituo ndani ya Tanzania wajue watakuwa hawajawatendea haki wapiga kura ambao kwa hiari ya wanaendelea kusikiliza sera za chadema na wamezikubali, na wako tayari kumpa kura nyingi DR.SLAA ili akabidhiwe ofisi kuu za magogoni hapo Nov mosi.
Nimeongea na jamaa yangu huko Shinnyanga a.k.a shy town ameniambia kuwa watu wa shinyanga wanasema mwaka huu DR.SLAA ndiyo atajua nini maana shinyanga.Miaka yote CCM wamekuwa wakivuna kura nyingi ila wanasisitiza wanataka mawakala waaminifu.
CHADEMA LAZIMA WAEPUKE HII LAWAMA YA KUTOWEKA WAKALA KWA BAADHI YA VITUO KWANI WATANZANIA HAWATAWAELEWA.
CHAGUA CHADEMA CHAGUA MAENDELEO