Chadema kuwashughulikia Lema na kilewo?

Red one

Member
Apr 22, 2011
99
26
WanaJF: kiukweli hili linakera sana kwa mh Godbless lema na katibu wa kanda ya dar es salaam mkuu Kilewo kuacha kuendelea na sangara na kurudia mbeya mjini na kuendelea kufanya mambo yao wenyewe wenyewe bila kutaka kushirikisha wenzao, ni siku nzima ya jana lema na kilewo hawajulikani walipo wakati walipo kuwa hapa mbeya walijifanya vinara wa kuongoza maandamano kwa sifa, sasa wao wako wapi? Sehemu walizopagiwa hawapo mpaka chama kimepeleka watu wasiyo fiti sehemu hizo! Tunaomba uwajibishwaji wa hawa mabwana maana hata kwenye kikao jana tuliambiwa wapo kwenye ratiba.
 
red one , tujuze hii habari unaitoa kama ni ulichogundua au ni shutuma....?
 
red one , tujuze hii habari unaitoa kama ni ulichogundua au ni shutuma....?

Kamanda hizi ni shutma kwani viongozi wengi wa wilaya za mkoa wa mbeya wanalalama kuhusu hawa mabwana kutoweka bila taarifa na wakati wamekuwa wakitangaza watakuwepo
 
WanaJF: kiukweli hili linakera sana kwa mh Godbless lema na katibu wa kanda ya dar es salaam mkuu Kilewo kuacha kuendelea na sangara na kurudia mbeya mjini na kuendelea kufanya mambo yao wenyewe wenyewe bila kutaka kushirikisha wenzao, ni siku nzima ya jana lema na kilewo hawajulikani walipo wakati walipo kuwa hapa mbeya walijifanya vinara wa kuongoza maandamano kwa sifa, sasa wao wako wapi? Sehemu walizopagiwa hawapo mpaka chama kimepeleka watu wasiyo fiti sehemu hizo! Tunaomba uwajibishwaji wa hawa mabwana maana hata kwenye kikao jana tuliambiwa wapo kwenye ratiba.
Toa upupu wako watu wasio fit ni kina nani hao, toka lini wewe ukawa mratibu wa maandamano ya CDM, labda tuambie leo Nape na Rostam wako wapi tutakuelewa.
 
Kamanda hizi ni shutma kwani viongozi wengi wa wilaya za mkoa wa mbeya wanalalama kuhusu hawa mabwana kutoweka bila taarifa na wakati wamekuwa wakitangaza watakuwepo


peleka shutuma hizi zilizochachuka kwenye vyombo husika vya chama .... humu jf tunaongelea burning issues zilizoshindikana katika nchi hii
 
Toa upupu wako watu wasio fit ni kina nani hao, toka lini wewe ukawa mratibu wa maandamano ya CDM, labda tuambie leo Nape na Rostam wako wapi tutakuelewa.
Mkuu na dhani wewe siyo mwanambeya ungekuwapo mbeya au ungekuwa unakitakia amani chama hiki kinachoenda kuchukua dola usingekurupuka na kunijibu kwa kejeli kiasi hiki mungu akubariki sana
 
WanaJF: kiukweli hili linakera sana kwa mh Godbless lema na katibu wa kanda ya dar es salaam mkuu Kilewo kuacha kuendelea na sangara na kurudia mbeya mjini na kuendelea kufanya mambo yao wenyewe wenyewe bila kutaka kushirikisha wenzao, ni siku nzima ya jana lema na kilewo hawajulikani walipo wakati walipo kuwa hapa mbeya walijifanya vinara wa kuongoza maandamano kwa sifa, sasa wao wako wapi? Sehemu walizopagiwa hawapo mpaka chama kimepeleka watu wasiyo fiti sehemu hizo! Tunaomba uwajibishwaji wa hawa mabwana maana hata kwenye kikao jana tuliambiwa wapo kwenye ratiba.

mkuu unachonena hapa yaweza kuwa kweli au uongo kwakuwa hawa makanda siyo wendawazimu watoke kote huko walipo toka then waishie hapa mbeya bila kuwa na sababu za msingi katika haya, kunahaja kiongozi yeyote yule wa cdm aliyopo mbeya akatupa habari zaidi ilikukata mzizi wa maneno haya.
 
Toa upupu wako watu wasio fit ni kina nani hao, toka lini wewe ukawa mratibu wa maandamano ya CDM, labda tuambie leo Nape na Rostam wako wapi tutakuelewa.

Mkuu mbona unafoka?

Nilichumuelewa ni kuwa ktk hizi shughuli za kisiasa ni muhimu ktk kampeni husika akawepo mtu mwenye ushawishi mkubwa, anayekubalika na kadamnasi anayoiendea na anayeweza kukiuza/kukielezea vema chama ktk kadamnasi hiyo. Ndipo akikosekana atawekwa mtu mwingine. Sasa, huyu mbadala kama amepungua vigezo vya hapo juu tunasema kapwaya. Na watu badala ya kurudi na ushindi mnarudi vichwa chini.

Then, kwa kusema waliwekwa watu wasio-fit yuko kama kilichotokea ni chini ya matarajio. Lema na Kilewo itabidi walaumiwe kwa kukiangusha chama.
 
Back
Top Bottom