WanaJF: kiukweli hili linakera sana kwa mh Godbless lema na katibu wa kanda ya dar es salaam mkuu Kilewo kuacha kuendelea na sangara na kurudia mbeya mjini na kuendelea kufanya mambo yao wenyewe wenyewe bila kutaka kushirikisha wenzao, ni siku nzima ya jana lema na kilewo hawajulikani walipo wakati walipo kuwa hapa mbeya walijifanya vinara wa kuongoza maandamano kwa sifa, sasa wao wako wapi? Sehemu walizopagiwa hawapo mpaka chama kimepeleka watu wasiyo fiti sehemu hizo! Tunaomba uwajibishwaji wa hawa mabwana maana hata kwenye kikao jana tuliambiwa wapo kwenye ratiba.