CHADEMA kuwasha moto Arusha leo 25 May, 2011

CHADEMA kuwasha moto Arusha leo 25 May, 2011

Basi stori itakua Tarime, hawana lingine la kujadili. sasa mchana watu si wako makazini, au ndio mkutano wa majobless huo

Kazi si mmewapa watoto na vimada wenu akina VK na wengine, sisi wengine tutabaki majobless, lakini lazima kieleweke.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ngurat! Nashukuru kwa hili kwani ingali nilikuwa mahala nafika mchana lakini ninasitisha chap. Nipate kuwemo ndani ya nyumba muda si mrefu.
 
Omr...CCM hatuna majibu yasiyo na Heshima..sababu tunajua tunachokifANYA na tunaamini bado sote ni watanzania na muasisi NYERERE..sasa inakuaje unaanza Ustaarabu wa kuchana katika..Lakini kweli mikutano mchana ya nini kwa nini wasiende kwenye maendeleo ya jamii.
 
wewe Kila Kitu CCM kwanini husemi CUF.au kwa Sababu mbabe WAKO...Hatuna sababu ya kutoka madarakani sababu hakuna wa kumuachia nchi..NAni Lema au Mbowe..,,? bora tumchague kingunge.
 
Basi stori itakua Tarime, hawana lingine la kujadili. sasa mchana watu si wako makazini, au ndio mkutano wa majobless huo

Ni kweli. Na hayo yamesababishwa na chama cha magamba. Kwa hiyo chadema inachofanya ni kuwaelimisha haki zao hao uliowataja.
 
Kazi si mmewapa watoto na vimada wenu akina VK na wengine, sisi wengine tutabaki majobless, lakini lazima kieleweke.
kieleweke nini? mikutano njaa ndio itawapa nchi? CCM miaka 100 mbele, wabunge njaa hao wa CDM ndio mnafikiria wataiangusha CCM? ni kichekesho. mikutano ya wavuta bangi hiyo.
 
Ni kweli. Na hayo yamesababishwa na chama cha magamba. Kwa hiyo chadema inachofanya ni kuwaelimisha haki zao hao uliowataja.
Jitayarisheni kuna lori linaleta Gomba na msuba ili msherekee vizuri huo mkutano
 
Back
Top Bottom