Chadema kuwaliza ccm na serikali yake

Chadema kuwaliza ccm na serikali yake

Jamaa walikaa kwenye tv zako huku macho yamewatoka utafikiri mjuzi kabanwa na mlango, mwisho wao umefika na wataanguka kifo cha mende kwani ni wepesi sana kama sisimizi.
 
Hawa Watu wanayoyaandika humu hawafanyi utafiti, amemuona nape na kinana wakilalamika kuhusu hotuba ya MHE: Mbowe, hajasikia polisi wakimwitaji MHE:alipoti Makao makuu ya polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi, kubwa zaidi afafanue kile kilicho azimiwa Kwenye mkutano mkuu wa chama.
 
Simiyu nakuomba uwe mzalendo wa nchi Yako kuliko kuwa mzalendo wa vazi la kijani, kwani kwa kufanya hivyo utakuwa mtetezi wa mafisadi Kila siku, wewe ujasikia Sita na watendaji wake wametofautiana kwa ajili ya pesa za Bunge la katiba.
 
Back
Top Bottom