Ccm na SERIKALI yake imeanza kulalama Kila kona badala ya kushughulika na maswala ya MSINGI ya nchi, wabunge badala waendelee kuchakachua Rasimu ya katiba, maneno ya m/kiti Mbowe kupitia mkutano mkuu yamewabadiliSha mawazo.
chadema ndio mkombozi wa wanyoge kitaeleweka 2015Ccm na SERIKALI yake imeanza kulalama Kila kona badala ya kushughulika na maswala ya MSINGI ya nchi, wabunge badala waendelee kuchakachua Rasimu ya katiba, maneno ya m/kiti Mbowe kupitia mkutano mkuu yamewabadiliSha mawazo.
Wewe umekalia moto hujitambui tu, siku unajitambua na ID yako hii utaikimbiaBavicha wote mnamapepo kabisa nendeni mkaandamane muone twawasubiri sana tuwapasue vichwa.
Wanyonge gani mkombozi gani anamwagia watu tindikali.chadema ndio mkombozi wa wanyoge kitaeleweka 2015
Kamwandalie mumeo chakula huko na tumbo lako kama guduria.Wewe umekalia moto hujitambui tu, siku unajitambua na ID yako hii utaikimbia
Kikwete huyoo na si mwingine Mwenyekiti gani hajui nchi anayoiongoza hajui wananchi wake kwa nini ni maskini.Umeandika nini hiki? Una IQ duni Kama ya mwenyekiti wako
yahani mbowe alikohowa mara moja tu kesho yake serekali na taasisi zake wakaanza kupiga chafya!Bungeni walikuwa kimwili tu mkuu lakini kiroho na kiakili walikuwa Chadema, niliambiwa karibu wote walikuwa kwenye TV kuangalia nn kinachoendelea kwenye mkutano wa Chadema. Dodoma pale pana wahuni watupu kasoro Kessy ameshaanza kujitambua. Nasikia wanachezea pesa zetu upatu...yaani aibu.
Bavicha wote mnamapepo kabisa nendeni mkaandamane muone twawasubiri sana tuwapasue vichwa.
kweli tuna mitanzaniano badala ya mtanzania,.Bavicha wote mnamapepo kabisa nendeni mkaandamane muone twawasubiri sana tuwapasue vichwa.
N walaaaniwe wote walao mali za masikini na wajane.Sita Sita umejionyesha ulivyo kama kweli ulipigwa viboko na Nyererre ulipokwa mwanafunzi naona hukujifunza sasa utapigwa viboko na watanzania wote.Sikio la kufa halisikii dawa, endeleza kiburi chako kama farao.Na waruhusu waendelee kuongea uppuuzi tena na tena.Bungeni walikuwa kimwili tu mkuu lakini kiroho na kiakili walikuwa Chadema, niliambiwa karibu wote walikuwa kwenye TV kuangalia nn kinachoendelea kwenye mkutano wa Chadema. Dodoma pale pana wahuni watupu kasoro Kessy ameshaanza kujitambua. Nasikia wanachezea pesa zetu upatu...yaani aibu.