CHADEMA Kutingisha Morogoro

Hata Mandela alikata tamaa kwa makaburu, ni suala la tafsiri tu. Lakini kwa maana yangu mapambano dhidi ya ufisadi yamekolea. Hata mbwa ukamfukuza, akafika ukingoni asione pa kutokea, hakika atakujeruhi. Kukata tamaa sio kujikunja na kulia yowe. Kwa mimi nikikata tamaa napigangumi za macho.
 
uhuru umekaribia toka kwa mkoloni mweusi. Asante CHADEMA.
 
Hiyo picha ni ishara tosha kwamba kazi inafanyika kuhamasisha wananchi waamke. Kitaeleweka tu 2015.
 
Kuna mzee mmoja amenifurahisha sana hapa Moro, aliniuliza uko katika harakati za chama gani, akaongezea cha Power. Nikamwambia ndio. Akasema sawasawa. Yaani Moro wako wengi, wanangijea unity the power.
 
Saa ya ukombozi ni sasa!hii M4C naisubiri sana huku Moshi vijijini tumetengwa jama,tren ya ukombozi inapita tukiitizama kwa mbali!
 
leo kutakuwa na vuguvugu kila kata hpa morogoro manispaa,makamanda wakimwaga sera.,hvyo kaeni mkao wa KIKAKAMAVU ZAIDI.peopleeeee poweeeerr
 
Moro wachaga ni wengi sana.inaelekea magamba mwee hata aibu hamna
 
Jana mpaka saa 7 usiku gari la matangazo lilikuwa likitangaza Mikutano ya Chadema ....Hakika hakuna kulala.
 
Jana mpaka saa 7 usiku gari la matangazo lilikuwa likitangaza Mikutano ya Chadema ....Hakika hakuna kulala.

C.c.m kwisha kwishaa kwishaa kabisa-Regia Mtema (R.I.P)
 
Ngoja niende kutafuta vikao sasa vilipo nitawajuaza yanayojiri....maana sisi ndio wadau wa Moro! au kama kuna mwenye taarifa kwasasa wapo wapi ili nisiunguze mafuta.
 
Ngoja niende kutafuta vikao sasa vilipo nitawajuaza yanayojiri....maana sisi ndio wadau wa Moro! au kama kuna mwenye taarifa kwasasa wapo wapi ili nisiunguze mafuta.
Nami nawaletea live si muda mrefu kutokea sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…