ni katika uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya mpwapwa mjini ni baada ya alie kua diwani wa kata hiyo kufaliki dunia mkutano huo wa uzinduzi utaanza saa za mchana saa tisa na kamanda BENSON KIGAILA atakua kuzindua kampeni
niko katikati ya kata ya mpwapwa mjini katika moja ya makutano ya vijana na wazee wa kata ya mpwapwa mjini na kutana navijana wa mpwapwa na wazee wa mpwapwa waki nionyesha shauku ya kuwa sikiliza watu na viongozi wa chadema kwani wana niambia wame choka kuwa daraja la watu ku tajirika na wana sema wako tayari kuwa ngome ya chadema
niko katikati ya kata ya mpwapwa mjini katika moja ya makutano ya vijana na wazee wa kata ya mpwapwa mjini na kutana navijana wa mpwapwa na wazee wa mpwapwa waki nionyesha shauku ya kuwa sikiliza watu na viongozi wa chadema kwani wana niambia wame choka kuwa daraja la watu ku tajirika na wana sema wako tayari kuwa ngome ya chadema