CHADEMA kutikisa kata ya Mpwapwa mjini leo

CHADEMA kutikisa kata ya Mpwapwa mjini leo

lerai

Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
63
Reaction score
5
ni katika uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya mpwapwa mjini ni baada ya alie kua diwani wa kata hiyo kufaliki dunia mkutano huo wa uzinduzi utaanza saa za mchana saa tisa na kamanda BENSON KIGAILA atakua kuzindua kampeni

niko katikati ya kata ya mpwapwa mjini katika moja ya makutano ya vijana na wazee wa kata ya mpwapwa mjini na kutana navijana wa mpwapwa na wazee wa mpwapwa waki nionyesha shauku ya kuwa sikiliza watu na viongozi wa chadema kwani wana niambia wame choka kuwa daraja la watu ku tajirika na wana sema wako tayari kuwa ngome ya chadema
 
ni katika uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya mpwapwa mjini ni baada ya alie kua diwani wa kata hiyo kufaliki dunia mkutano huo wa uzinduzi utaanza saa za mchana saa tisa na kamanda BENSON KIGAILA atakua kuzindua kampeni

Makamanda wamesubiliwa mpaka jana jioni walikuwa hawajafika, ni kwa sababu ni kama wanapuuzia kata hii wakati kuna kila dalili wataibuka kidedea . Kikubwa cha kuwapa ushindi ni uzembe wa chama cha CCM, DIWANI aliyefariki alikuwa msomi mwenye degree ya uzamii mambo ya mifugo wa sasa aliyeteuliwa mbali ya elimu yake haijulikani hajui kusoma wala kuandika na alikuwa ni mwizi tu wa magari wakati wa wabrazil (ECIZAR) wanajenga barabara ya Morogoro Dodoma, mwizi mwenzie Barnaba aliuwawa yeye akakimbilia kwao Njombe, ndo awe diwani eti, CCM wamewazarau sana wananchi wa Mpwapwa, kwa hiyo kitendo cha makamanda kuchelewa kufika kunamcheleweshea ushindi diwani mtalajiwa ndugu Mpina Baharia wa CHADEMA.
 
Makamanda wamesubiliwa mpaka jana jioni walikuwa hawajafika, ni kwa sababu ni kama wanapuuzia kata hii wakati kuna kila dalili wataibuka kidedea . Kikubwa cha kuwapa ushindi ni uzembe wa chama cha CCM, DIWANI aliyefariki alikuwa msomi mwenye degree ya uzamii mambo ya mifugo wa sasa aliyeteuliwa mbali ya elimu yake haijulikani hajui kusoma wala kuandika na alikuwa ni mwizi tu wa magari wakati wa wabrazil (ECIZAR) wanajenga barabara ya Morogoro Dodoma, mwizi mwenzie Barnaba aliuwawa yeye akakimbilia kwao Njombe, ndo awe diwani eti, CCM wamewazarau sana wananchi wa Mpwapwa, kwa hiyo kitendo cha makamanda kuchelewa kufika kunamcheleweshea ushindi diwani mtalajiwa ndugu Mpina Baharia wa CHADEMA.

makamanda jana walikua na kikao cha ndani ambacho ndicho kilicho kuja na majibu na taharifa izi za mkutano wa uzinduzi ambao kamanda BENSON KIGAILA Atakuwepo
 
Wadau hapo juu asanteni kwa taarifa, bila shaka cdm makamanda wa ngazi ya juu kabisa huwa wanapita hapa, tafadhali naomba msiyabeze haya yafanyieni kazi, kama mambo hapo yako hivyo mpwapwa tumeni makamanda wa kutosha, kama pesa ya chakula ni shida, semeni watu tupige harambee hata huku sumbawanga tuwatumie huko, tunachotaka sasa hivi ni popote ulipo uchaguzi cdm tuwepo, tupige kampeni za maana na tushinde, hatutaki stori jamani, wakati ndio huu sasa, hatuwezi kuacha supu kwa kukosa pilipili. Cdm go goooooo......mungu yu nasi.
 
Kila la kheri makamanda! mtatenda haki kama updates zitaendelea mkutano utakapo anza.
 
Ni wazi kwamba CDM inapanuka kwa kasi ya ajabu. Ni tumaini langu kwamba viongozi wakuu wa CDM wanapanua safu za uongozi kitaifa na kimikoa kwa kasi itakayokidhi hali halisi.

Ni muhimu sana kuimarisha uongozi mikoani sasa kwani wananchi wengi wanategemea CDM ndio iongoze shughuli zao za kisiasa kwa sasa. Makao makuu hayataweza kuongoza kila kitu.
 
Tunashukuru sana Kamanda kwa taarifa hii nzuri sana.
 
ni katika uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya mpwapwa mjini ni baada ya alie kua diwani wa kata hiyo kufaliki dunia mkutano huo wa uzinduzi utaanza saa za mchana saa tisa na kamanda BENSON KIGAILA atakua kuzindua kampeni
Mkuu lerai pamoja sana
 
Last edited by a moderator:
Tunasubiri taarifa ya kitakachojiri,tunawatakia mkutano mwema na uwe wa mafanikio.
 
hatuachi supu kisa hakuna pilipili.
hongera uliyeongeza misemo yangu.
cdm pigeni kazi.
 
Tunaomba kampeni za kiustaarabu, ingawa ccm wanaweza leta vurugu bila sababu!

ndugu niko katikati ya vijana wa mpwapwa wana niambia wenyewe wako kwaajili ya kulinda amani na wame choka kutumika kama madaraja na wana niambia ili ni jimbo la naibu waziri wa viwanda na biashara wana taka wamuekee paka ambae wana sema ndie kijana wachadema!
 
mpwapwa, mji ulio kichochoroni mwa mkoa wa dodoma , mji uliosahaulika toka enzi ya uhuru, mji usio na maendeleo toka enzi ya tanu, mji ulio anza kungaa miaka ya 80s baada ya kufunguliwa chuo cha afya, chuo cha mifugo, chuo cha ualimu, kambi ya jkt , mji uliopitiwa na wabunge wengi( wengine ni marehu kwa sasa rip) eg MTAKI. SENYAGWA, LUBELEJE, etc ambao kama ni kitu cha maana basi walileta ni gereza lilipo ILOLO hongera kwa mh LUBELEJE nadhani alipigania hili ili kuienze kazi yake ya UHAKIMU wa mahakama ya mwanzo ya mpwapwa, mji ambao waheshimiwa hawa wamejenga nyumba nyumba zao eneo lilikuwa wazi mbele ya ofc ya mkuu wa wilaya na pembeni ya eneo walipo jenga ccm jengo kubwa linalo kaliwa na panya tu, mpwapwa mji ulio kuwa na wazee maarufu ambao waliogopwa na kila mtawala aliye ingia mpwapwa wengi wao sasa kama sio wote ni marehemu (rip wazee wangu), mpwapwa ya mtejeta,chazunghwa, kikombo,vinghawe,mazae,ilolo shule ambazo zimechoka zaidi ya maelezo ya kuchoka kwenyewe, mpwapwa ya kijiweni pale juu stendi ya zamani, mpwapwa iliyochorwa kila nyumba rangi za ajabu ajabu na maandishi meengi ya kunadi kampuni za ununuzi wa madini yaliyo pita kama tsunami na kuwaacha vijana na hadithi za kufikilika kuwa ipo siku madini yatarudi, (kama yalisafili)

MAKAMANDA TWENDENI TUKACHUKUA MJI HUU ILI UPATE MABADILIKO YA KWELI M4C DAIMA
 
Ni wazi kwamba CDM inapanuka kwa kasi ya ajabu. Ni tumaini langu kwamba viongozi wakuu wa CDM wanapanua safu za uongozi kitaifa na kimikoa kwa kasi itakayokidhi hali halisi.

Ni muhimu sana kuimarisha uongozi mikoani sasa kwani wananchi wengi wanategemea CDM ndio iongoze shughuli zao za kisiasa kwa sasa. Makao makuu hayataweza kuongoza kila kitu.

Suala la Fund ni tatizo kubwa, Chadema tungetamani kufanya makubwa ila pesa ni tatizo kubwa, na ndiyo maana tunakuomba wewe mwanachama ujue kuwa hii vita ni yako na siyo Makao makuu ya CDM.

Tupigane makamanda popote tulipo, tusisukumwe na makao makuu,, ikiwezekana jengeni hata ofisi za chadema huko mliko.
 
Back
Top Bottom