Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,673
- 12,299
Amewatuma waseme kuwa unaliwa kwa mkopo.Gaidi amewatuma kuongea nini?
Amewatuma waseme kuwa unaliwa kwa mkopo.Gaidi amewatuma kuongea nini?
Unataka kusema nini?Chadema banaa....
Leo hii wanataka "protocol" zizingatiwe kinyume kabisa na kipindi kile waliposhikilia hilo "bango" halafu wakazunguka kampeni za uchaguzi nchi nzima bila ya hizo "protocols"....
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#TujitokezeniKuchanjwa
Waache wenye akili timamu wajadili. Hili jukwaa halikufai. Hili jukwaa ni kwaajili ya wenye akili.Hakuna watu wenye muda mchafu wa kusikiliza magaidi.