CHADEMA kuomba kibali cha kuuaga mwili wa Mawazo mahakamani

umesema kwenye mgorofa wake sio uwanjani wala ofice za chama na huyo mawazo mwanza sio kwake kwake ni geita
hakuna sababu ya kubishana na mataila kwani kuna formula ya kuaga watu selina kombani aliagwa karimjee, kigoda karimjee Makaidi karimjee sasa Mawazo kwenye viwanja vya chadema kuna ubaya gani hivi nyie ccm ubongo wenu una fangasi
 
Kwa hiyo ndio maana hata mazishi ya marehemu Mawazo (RIP) yanataka kugeuzwa kuwa mtaji wa kisiasa na hao Chadema? Wapuuzi hao mashetani.

mbayuwayu tu ndio anaakili kama zako hajielewi Kigoda na selina kombani waliagwa karimjee na kupelekwa walikozaliwa vipi nyie manguruwe wa ccm hamjitambui
 
unajua jamaa yao kaiba kura hajashinda kihalali ndio maana wanaogopa wapinzani watapata pa kusemea ukweli. Pili wanajua aliyemuuwa ndio maana hawataki mtu apate kwa kusemea. Au wanataka tuwasusie ili wamtafune wakazike gogo wachawi kweli hao
ndio maana lakini kingine ni uwigo yaani wanasema wataifuta chadema kanda ya ziwa lazima watambuwe kuwa nchi ni yetu sisi sote wasukuma wako kila mkoa kama wanataka kuleta matabaka ya kikabila tutaona mwisho wake
 
Nadhani ndugu wa marehemu wanahitaji sifa za kisiasa wao ndio wenye uamuzi wa mwisho.haingii akilini kuendelea kuucha mwili usizikwe eti kwa sababu ya kusubiri maanda mano .usitoshe mwili hata ukiachwa bila maanda mano utazikwa tu watanzania hatuna desturi ya kutoka kuwazika marehemu.
 
Mazishi kipindupindu hakihusiani kwani kuaga mwili na kizika ni kula chakula?maana kipindupindu huambikiza kama kuna vyakula tena vyenye kinyesi.
 
Katika haki zote za bonadamu ni haki ya uhai. Vingine vyote ni number two. Amani ikivunjika matokeo yake na watu kupoteza haki yao ya uhai, ambayo ni haki nambari wani. Hiki ndiyo kinawspa Polisi madarakka ya kuzuia chochote kile kwa yeyote ile. Kwa vile haki ya uhai ikishavunjwa haiwezi kuridishwa kwa kulipa faini ai kuomba msamahama, madaraka ya polisi ni NON-NEGOTIABLE.

Kama Polisi wamesema maandamano yoyote kumzika marehemu Mawazo yatavunja amani, that is it.

Hivi kuna ugumu gani kuwaachia familia wa marehemu wakamzika, sisi tiende kesho yake kuwafariji? Mbatiya au Mbowe hawajui Kisukuma na wala si Waislamu hawawezi kushiriki kwenye maziko, kwa nini wasokae pembeni?

Familia wakishazika wawape hizo ramburambi zao milioni 39 wasizichakachue kama kawaida yao. I think they are looking for a lame excuse not to hand over the rambirambi money. Wachagga hawo.
kum wasukuma muna roho baya kiasi hiki mazishi yote tunaofanya hapa Tanzania yana mandamano kuanzia kanisani au nyumbani au eneo la kuagia kwa vipi munaona maandamano ya kumuaga mawazo dhambi halafu muna leta na ukabila kwenu msukuma safi ni msukuma tu na magufuli huna akili mumemuua na haki yake ya mwisho last respect hamtaki apewe
 
Nashindwa kuelewa nini kinaendelea...wafuasi na wafiwa wa Kamanda Mawazo wanataka kuaga mwili wa marehemu. Ni wengi kwa maelfu, wameuzunishwa na kifo chake, then polisi hawataki?
 
Nadhani ndugu wa marehemu wanahitaji sifa za kisiasa wao ndio wenye uamuzi wa mwisho.haingii akilini kuendelea kuucha mwili usizikwe eti kwa sababu ya kusubiri maanda mano .usitoshe mwili hata ukiachwa bila maanda mano utazikwa tu watanzania hatuna desturi ya kutoka kuwazika marehemu.

Mi sidhani kama ndugu wanahitaji sifa za kisiasa.
Ebu tujiulize maandamano ni nini? Hao ndugu watauzika mwili peke yao bila kuwa na jamaa, marafiki au majirani?
Sehemu nyingi hapa Tanzania hatuziki nyumbani bali tunazika kwenye makaburi ya public.
Je kitendo cha kutoka nyumbani kwenda makaburini iwe kwa miguu au kwa magari sio maandamano tayari? Maana kitendo cha kutoka point A kwenda point B kwa mkusanyiko wa watu au magari tayari ni maandamano.
Vipi kihusu mikusanyiko mingine kama ya harusi au michezo, polisi wameipiga marufuku kwa sababu ya kipindupindu? Au yenyewe imekuwa protected vipi ili kuzuia kipindupindu? Maana harusi na michezo hukusanya idadi kubwa ya watu pia.
 
Hawa Mashetani Wapuuzi, wamefiwa na kiongozi wao wa kanda ya Ziwa! Nafikiri Naye unamwita shetani mpuuzi pia, labda hata wewe ungekutana na shetani mpuuzi Kama huyu ungemkata mapanga na mashoka!
Wewe endelea kujitoa ufahamu.
 
That's what you can say kichwa maji huna unalojua ubabe tu na kwenye ubabe kuna resistance tuendelee tuone mwisho wake mumechekewa sana 40,000 police members against 50,000,000 think twice
Katika hao 50 million tutoemo sisi wenye akili timamu! Nyie NYUMBU mpo 6mil tu!
 
kum wasukuma muna roho baya kiasi hiki mazishi yote tunaofanya hapa Tanzania yana mandamano kuanzia kanisani au nyumbani au eneo la kuagia kwa vipi munaona maandamano ya kumuaga mawazo dhambi halafu muna leta na ukabila kwenu msukuma safi ni msukuma tu na magufuli huna akili mumemuua na haki yake ya mwisho last respect hamtaki apewe
We Muhutu hujambo?
 
Ikishindikana mahakamani naomba wajekumuaga Arusha nako ilikuwa nyumbani kwake na hamna hiyo sijui kerentii halafu akazikwe nyumbani wanavyotaka polisi
 
NImechoka sana kusikia watu wakipiga tumba hapa kwamba polisi wanatumwa tuu.Ukweli ni kwamba polisi wameshafanya siasa ni mtaji wao wa kujipa promo.Issue ya majambazi sugu sasa hailipi sana kwa polisi.Ukweli ni kwamba mikoa mingi sana ipo salama kupindukia tena zaidi ya kipindi ccm ikiongoza nchi km chama pekee dola. Polisi wameamua kuwa scare mongers na kutumia matukio ya kisiasa kujipa promo za kipuuzi.Hiii ndio kuwa na jeshi ala polisi lisiloelimika. Polisi sasa hivi wanafaya upuuzi mtupu kila mahali kuwanyima pumzi wapinzani na uhuru wa raia. Polisi sasa kwao ni rahisi sana kupitisha magari ya kukabiliana na vurugu, kubeba silaha na makelele mengine mjini na kutishia watu ambao wapo kazini.Huu ni upuuzi wa kukemea sana.Hivi polisi wanaowatisha watawala kiasi hiki kwa kutengeneza umbea vitishoa, na baadae kujidai kwamba wao ni master wa kukabiliana na issue, siku linatokea kweli hawa polisi watapona?Ni time sasa polisi wawe REALISTIC, dunia si salama tena kwa jeshi kufanya mizaha.Fanyeji kazi halisi , km wenzenu wa ulaya.Changamoto ni kubwa kuliko hayo maigizo yenu.Promo za kipuuzi si muda wake.
 
Back
Top Bottom