chadema wana lopoka, wakisha lopoka kauli zao zinawagharimu. ooh list of shame, oooh vua gamba vaa gwanda, hawanaga motion
mmhh, sasa kwanini asifunguliwe hayo mashtaka kama ni kweliHivi tangu lini Ukweli ukawekwa chombo kimoja na Uongo?, Lowasa ni Fisadi na si vinginevyo.
Amen RAHivi tangu lini Ukweli ukawekwa chombo kimoja na Uongo?, Lowasa ni Fisadi na si vinginevyo.
kweli sisi malofa
anasubiriwa mnyika aweke ushahidi vizuri ili akauwakilishemmhh, sasa kwanini asifunguliwe hayo mashtaka kama ni kweli
kubali mnabugi step, bado hamuweziNa wewe unalopoka bora ungeropoka..
mmhh.. hiyo kali ya mwaka, kwa hiyo hii mahakama itakua inasubiri vielelezo toka kwa wanasiasa?anasubiriwa mnyika aweke ushahidi vizuri ili akauwakilishe
Lissu alimuita Lowasa fisadi, Mnyika akasema anaushahidi wa kutosha, kwahiyo tuna msubiri mwanasheria mzalendo lissu asimamie hiyo kesi na mnyika akiwa shahidi, serikali ilishatoa mahakimummhh.. hiyo kali ya mwaka, kwa hiyo hii mahakama itakua inasubiri vielelezo toka kwa wanasiasa?
wenzako walitumia mbinu hii kukidhoofisha chama tawala, watu wengi walidhani ni kweli na mmoja wapo ni wewe, stukaLissu alimuita Lowasa fisadi, Mnyika akasema anaushahidi wa kutosha, kwahiyo tuna msubiri mwanasheria mzalendo lissu asimamie hiyo kesi na mnyika akiwa shahidi, serikali ilishatoa mahakimu
Kuwalaumu CHADEMA kwamba kwanini walishikilia bango Lowassa awajibishwe kama fisadi ni kuwaonea.
Kwanini?
Kwasababu aliyesema kwamba lowasa amefanya ufisadi ni serikali na baada ya CHADEMA kuzipata hizo taarifa nao wakahakikisha kwamba wanalisimamia hilo jambo ili haki itendeke, lakini cha kushangaza miaka inaenda miaka inarudi, serikali inapiga kona kona tu na ndo maana CHADEMA waliposhtuka kwamba, kuna kamchezo serikali inamchezea Lowassa kumpunguza makali wakaamua kumchukua.
SasaSasa ile hisia ya CHADEMA kwamba, serikali inamchezea Lowassa kamchezo, imedhihirika baada ya serikali hiyohiyo kusema kwamba Tanzania hakuna fisadi wa kupeleka mahakamani.
Go Lowassa Go Mzee Mwenye hekima na maarifa mengi, shimo walilokutegea kwaajili ya maslahi yao wenyewe limewameza, sasa sijui watatuambia nini tuwaelewe.
Yule Nape sijui atasema nini tena, mzee kufa hutakufa na wala hutatumia nguvu kuingia ikulu wamekupeka wenyewe.
Tanzania ya Neema zinakuja itajengwa kwa akili na maarifa.
ndo maana wajanja tulisha shitukia hiki chama, waongo tu, hawana hoja, siasa za kutumia majina ya watu sii siasawenzako walitumia mbinu hii kukidhoofisha chama tawala, watu wengi walidhani ni kweli na mmoja wapo ni wewe, stuka
Mahakama toka July ina kesi moja na mwakyembe anasema kukosekana kwa mafisadi ni ushindi kwa serikali.. Sasa lowasa kama fisadi serikali yachelewa nini kumpeleka mahakamani.. na je yule aliyenunua kivuko kibovu cha kwenda Bagamoyo mtampeleka lini mahakamani?Hivi tangu lini Ukweli ukawekwa chombo kimoja na Uongo?, Lowasa ni Fisadi na si vinginevyo.