kauli mali
Member
- Jul 3, 2015
- 11
- 7
Chadema itashirikiana na mtu yeyote aliyetayari kuiangusha ccm hata kama ni shetani chadema tutampa sapoti ilimradi tuteketeze maccm.
lowasa akipitishwa kugombea Chadema,narudisha kadi,siwezi Kuwa mnafiki ,tumkatae akiwa upande wao akija kwetu tumkubalie,haiwezekaniii.
Kuna habari zimeanza kuzagaa kuwa CHADEMA wanapaswa kumsafisha Lowassa kupitia chama chao ili aweze kugombea urais kwa tiketi ya UKAWA kupitia CHADEMA.
My take: CHADEMA tegemeeni chama kuondoka mikononi mwenu mana Lowassa anakuja na timu yake na hela yake hapo ni njia ya kutimiza malengo yake yeye na mtandao wake. So tegemeeni CHADEMA kutumika kama condom kama Shibuda alivyo kitumia
haiwezekani kuna watu wamekijenga chama muda mrefu mpaka mabomu wamepigwa Leo kuelekea uchaguzi eti watu wanahamia hayo mambo mtatuboa wapenzi Wa CHADEMA.
kwa fisadi akiwa Ccm akiwa chadema Kamanda duh chama changu lakin mkumbuke mpaka Ku fika hapa mpaka chadema inajulikana kuna watu wameumia na kutukanwa
lowasa akipitishwa kugombea Chadema,narudisha kadi,siwezi Kuwa mnafiki ,tumkatae akiwa upande wao akija kwetu tumkubalie,haiwezekaniii.
Kwa hiyo pale CHADEMA, Mungu wenu ni nani, Mtei?Laiti na Mungu huyu anayeumba, kusamehe na kuhukumu angekuwa kama hivi ufikiriavyo, sijui ni nani angepona!
lowasa akipitishwa kugombea Chadema,narudisha kadi,siwezi Kuwa mnafiki ,tumkatae akiwa upande wao akija kwetu tumkubalie,haiwezekaniii.
lowasa akipitishwa kugombea Chadema,narudisha kadi,siwezi Kuwa mnafiki ,tumkatae akiwa upande wao akija kwetu tumkubalie,haiwezekaniii.
kuna watoto wamekipigania chama hapa Leo unambiwa kaa pembeni agombee mwingne kisa kuelekea u chaguzi mkuu ili tushinde sasa kumbe makelele tunayopga tunajidanganya tuuu hata makinda akija tutaimba pipoooooz wakati ccm wana tuua kina lowasa walikuwepo na wengne walitoa hela kutugawa wapinzani Leo ndio icon ya ushindi kwel pesa inanunua vhochote.
karibuni kina Chenge na mafisad wengne Wa Ccm huku chadema
Ambaye hatarudisha Kadi Lowassa akihamia CDM ni ama Mchagga au Mmasai.Wewe ni Gamba pure hiyo kadi ya CCM uliyo nayo utairudisha wapi??
Kwa hiyo Lowassa haya maneno mnajifanya kuyatamka kwa ujasiri, lakini ukweli mnaujua kuwa Lowassa kawanunua.Ingekuwa hivyo waliopigania Uhuru wangekuwa watawala milele.
lowasa akipitishwa kugombea Chadema,narudisha kadi,siwezi Kuwa mnafiki ,tumkatae akiwa upande wao akija kwetu tumkubalie,haiwezekaniii.
Unakiondoa chama tawala madakani kwa kutumia silaha ambayo chama kiliitumia kuwaumiza wananchi? Wananchi watakuwa na imani na wewe tena?Siasa za Africa nzivyo zilivyo kwa kuwa lengo kwanza ni kukiondoa chama kilichopo madarakani kwa njia yoyote ile.