Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,126
- 9,593
Kipindi Cha uchaguzi, Kila msanii anaingiaga studio na kurekodi nyimbo za kuwasifu CCM, na kuwakashifu wapinzani (Chadema) CCM utumia pesa nyingi kuwalipa wasanii Ili kampeini zinoge.
Mwaka huu itabidi wasanii watunge nyimbo za kuwachamba kina Dovutwa, Selasini na Rungwe.
Je CCM itatumia billions of shillings kuwalipa wasanii wakati uchaguzi tayari ni mwepesi kwao.
Chadema kujitoa hili ni pigo sana Kwa Kina Mwijaku,Zuchu, Diamond,baba levo n.k
Mwaka huu itabidi wasanii watunge nyimbo za kuwachamba kina Dovutwa, Selasini na Rungwe.
Je CCM itatumia billions of shillings kuwalipa wasanii wakati uchaguzi tayari ni mwepesi kwao.
Chadema kujitoa hili ni pigo sana Kwa Kina Mwijaku,Zuchu, Diamond,baba levo n.k