CHADEMA kuiunga mkono Jubilee ni kujisaliti

CHADEMA kuiunga mkono Jubilee ni kujisaliti

jaruri

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2014
Posts
717
Reaction score
459
Nimemsikia mwanasheria mkuu wa CDM akisema kuwa wao kama chama walimuunga mkono mgombea wa urais kupitia chama tawala nchini kenya na kwamba kimsingi wamefurahishwa na ushindi wake wa urais nchini humo.

Ifahamike kuwa uchaguzi huu umekuwa na dosari kadhaa kabla na wakati wa uchaguzi. Dosari ambazo huku kwetu hazijawahi tokea. Siku chache kabla ya uchaguzi, mkuu wa IT wa tume ya uchaguzi nchini humo aliuawa kinyama.

Inasemekana mtu huyu ndie alokuwa na password ya data base za IT na kifo chake kimehusishwa na uchaguzi huu.Ilipofika siku ya uchaguzi upinzani uligundua kutokea kwa udukuzi katika data base ya IEBC na kutoa taarifa lakini hakuna hatua iliyo chukuliwa badala yake waliambiwa kuwa kama hawaridhishwi na matokeo waende mahakamani na tume ikaendelea kutangaza matokeo.

Swali fikirishi,kwa nini Musando afe siku chache kabla ya uchaguzi? na kwa nini muuaji achukue vidole vyake? Unaweza pata connection kuwa inawezekana kweli kuna mchezo mchafu ulifanyika kwenye data base ya IEBC though hatuna uhakika.

Wapinzani waliomba issue ndogo tu, waruhusiwe kuangalia taarifa za matokeo direct kwenye data base lakini walikataliwa.Kwa nini wakataliwe ? mimi na wewe hatujui

Maswali ninayo jiuliza;
unawezaje kumsupport mtu ambae wapinzani wanadai kaiba kura? Wewe ni mpinzani 2020 unatazamia kuingia kwenye vita kama alokua nayo mpinzani mwenzako leo,vipi huo wembe ulomyoa mwenzio leo ukikunyoa 2020, utalalamika?

Uchaguzi hauwi huru na haki kwa kuwaruhusu wafungwa na diaspora kupiga kura tu, bali unakuwa huru na haki katika hatua zote za uandikishaji, kampeni, upigaji wa kura, kuhesabu na kutoa matokeo.

Kwa hawa wenzetu kutokana na madai ya upinzani kulikwa na tatizo katika kuhesabu kura za urais ndio maana waliomba access katika data base za IEBC wakanyimwa. Jiulize kwa nini walinyimwa.

Mwisho niwashauri ndugu zangu hawa kabla hawaja toa matamko wawe wanafanya uchunguzi wa kutosha,si vema kutoa tamko leo afu kesho likakugharimu.

Wajifunze kutokana na makosa yao wenyewe:
-2008 lowasa fisadi;2015 wanamsafisha.
-2005-2015 Rais wa awamu ya nne dhaifu 2017 wanamsifia kuwa alikuwa rais bora sana

-Kabla ya 2015 walisema wanataka rais mkali atakae simamia nchi;leo Kaja JPM wanaanza kulia.

Free mind jaruri
0712207633
 
Naona unawakilisha maoni ya waliokua upande wa sizonje...
Mzee wenu kajikaza kinyetonyeto katoa pongez wewe umeshindwa kabisa hata kupretend
 
Wale they are moved by people and not ideas, wanamuunga mkono Kenyata kisa tu eti Raila ni rafiki ya Magufuli, nyie CHADEMA, hamjui kuwa Uhuru na Raila watapita tu? Yaani nyie kamwe hamtakaa mtawale Tanzania maana hamjui hata mnasimamia nini? Jirekebisheni.
 
halafu wajuaji sana, kisa wanamkomoa Magufuli!! kwa sababu ana urafiki na Odinga!!! utoto huu unatia kinyaa kwa kweli

hao ndo wasomi eti

I sometime think Mbowe is mocking these so called learned brothers ...maana moves za kijinga nyingi yuko kimya haongeagi!!
 
Uwe unafanya research kidogo badala ya kuandika kitu ambacho si kweli. Ni nani aliyeanza kuwa msaliti!?

Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
2 years ago Comments Off on Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga ambaye ni rafiki wa Dkt. John Magufuli ameeleza jinsi ambavyo chama chake cha ODM na Kenya walivyoupokea ushindi wa kada huyo wa CCM kugombea kiti cha urais wa Tanzania.

Akiongea na kituo cha runinga cha ‘Azam Two’, Odinga alisema kuwa wameufurahia sana ushindi wa Magufuli. Alisema wana imani kubwa kuwa kwa utendaji wake atasaidia kuimarisha zaidi umoja wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

“Sisi kama rafiki wa Tanzania tumefurahishwa sana na ambayo yamefanyika. Kuteuliwa kwa bwana maguguli kama yule ambaye atabeba bendera ya chama cha CCM, imetufurahisha sana hapa Kenya. Ndio maana sisi tunasema pongezi na heko kwa bwana Magufuli,”alisema Raila Odinga.

Odinga alieleza kuwa amemfahamu Dkt. Magufuli kwa kipindi kirefu na wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na kushauriana tangu walipokuwa wanafanya kazi kama mawaziri wa wizara za ujenzi na barabara wa nchi zao. Hivyo, anatambua uwezo wake wa kutenda kazi kwa ufanisi.

Akielezea jinsi alivyomfahamu Magufuli na kama aliwahi kumdokezea kuwa na mpango wa kuwa rais wa Tanzania siku za usoni, Odinga alisema, “ni mtu mpole, si mtu ambaye ana hamaki. Anafuatilia mambo kabla hajafanya. Yeye mwenyewe amesema tu mara kwa mara eti hawezi kujilazimisha katika hili, lakini watanzania wakiamua yeye atakuwa tayari kuwahudumia hata katika cheo cha urais.”

Alisema chama cha ODM ni rafiki wa Chama Cha Mapinduzi hivyo watakiunga mkono katika mbio hizo za urais wa Tanzania japo hawatajihusisha moja kwa moja na kampeni kwa kuwa kampeni zinapaswa kufanywa na watanzania wenyewe.

Wale wajinga,they are moved by people and not ideas,wanamuunga mkono Kenyata kisa tu eti Raila ni rafiki ya Magufuli,wajinga nyie CHADEMA,hamjui kuwa Uhuru na Raila watapita tu?Yaani nyie kamwe hamtakaa mtawale Tanzania maana hamjui hata mnasimamia nini?Jirekebisheni.
 
Acha kukurupuka na kuja hapa kuandika pumba. Hivi kati ya Chadema na Railla ni yupi aliyeanza kumsaliti mwenzie?


Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
2 years ago Comments Off on Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga ambaye ni rafiki wa Dkt. John Magufuli ameeleza jinsi ambavyo chama chake cha ODM na Kenya walivyoupokea ushindi wa kada huyo wa CCM kugombea kiti cha urais wa Tanzania.

Akiongea na kituo cha runinga cha ‘Azam Two’, Odinga alisema kuwa wameufurahia sana ushindi wa Magufuli. Alisema wana imani kubwa kuwa kwa utendaji wake atasaidia kuimarisha zaidi umoja wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

“Sisi kama rafiki wa Tanzania tumefurahishwa sana na ambayo yamefanyika. Kuteuliwa kwa bwana maguguli kama yule ambaye atabeba bendera ya chama cha CCM, imetufurahisha sana hapa Kenya. Ndio maana sisi tunasema pongezi na heko kwa bwana Magufuli,”alisema Raila Odinga.

Odinga alieleza kuwa amemfahamu Dkt. Magufuli kwa kipindi kirefu na wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na kushauriana tangu walipokuwa wanafanya kazi kama mawaziri wa wizara za ujenzi na barabara wa nchi zao. Hivyo, anatambua uwezo wake wa kutenda kazi kwa ufanisi.

Akielezea jinsi alivyomfahamu Magufuli na kama aliwahi kumdokezea kuwa na mpango wa kuwa rais wa Tanzania siku za usoni, Odinga alisema, “ni mtu mpole, si mtu ambaye ana hamaki. Anafuatilia mambo kabla hajafanya. Yeye mwenyewe amesema tu mara kwa mara eti hawezi kujilazimisha katika hili, lakini watanzania wakiamua yeye atakuwa tayari kuwahudumia hata katika cheo cha urais.”

Alisema chama cha ODM ni rafiki wa Chama Cha Mapinduzi hivyo watakiunga mkono katika mbio hizo za urais wa Tanzania japo hawatajihusisha moja kwa moja na kampeni kwa kuwa kampeni zinapaswa kufanywa na watanzania wenyewe.
wewe mtu wa ajabu kweli;nikitofautiana na wewe haimaanishi kila atakae kuwa na urafiki na wewe anakuwa adui yangu
 
Kuunga mkono au kusaidia ushindi wa Jubilee si kufunga mkataba wa Vyama wa ushirikiano wa kisiasa lakini pia si kuingilia wala kushawishi siasa za Kenya kuwa ndio siasa za Tanzania au CHADEMA. Kuunga mkono upande wowote wa vyama au chama ni kuwa na utashi wa kubaki na dhana, lengo na itikadi ya chama na mazingira ya nchi yako. Sasa kama jubilee waliungwa mkono na CHADEMA na wakashinda basi siasa za mlengo wake zimeshinda huku NASA walioungwa mkono na CCM pamoja na Mwenyekiti wao na wameshindwa basi kwa ufupi picha ya haraka haraka inaonesha siasa za CCM zimeshindwa. Hakuna jipya.....
 
Wanapenda neno "tumeshinda" ingawa neno lenyewe haliwapendi.
Jana Arsenal fc imeshinda, sitoshangaa chadema wakiitisha kikao na kusema walikuwa wanaisapoti arsenal fc.

Ova
 

Attachments

  • 91c42ee288053867f7b477ad90b55f1d.jpg
    91c42ee288053867f7b477ad90b55f1d.jpg
    13.6 KB · Views: 36
Uwe unafanya research kidogo badala ya kuandika kitu ambacho si kweli. Ni nani aliyeanza kuwa msaliti!?

Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
2 years ago Comments Off on Raila Odinga Aeleza Kenya Ilivyopokea Ushindi Wa Magufuli Na Kama Aliwahi Kumgusia Kuutaka Urais
Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga ambaye ni rafiki wa Dkt. John Magufuli ameeleza jinsi ambavyo chama chake cha ODM na Kenya walivyoupokea ushindi wa kada huyo wa CCM kugombea kiti cha urais wa Tanzania.

Akiongea na kituo cha runinga cha ‘Azam Two’, Odinga alisema kuwa wameufurahia sana ushindi wa Magufuli. Alisema wana imani kubwa kuwa kwa utendaji wake atasaidia kuimarisha zaidi umoja wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.

“Sisi kama rafiki wa Tanzania tumefurahishwa sana na ambayo yamefanyika. Kuteuliwa kwa bwana maguguli kama yule ambaye atabeba bendera ya chama cha CCM, imetufurahisha sana hapa Kenya. Ndio maana sisi tunasema pongezi na heko kwa bwana Magufuli,”alisema Raila Odinga.

Odinga alieleza kuwa amemfahamu Dkt. Magufuli kwa kipindi kirefu na wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na kushauriana tangu walipokuwa wanafanya kazi kama mawaziri wa wizara za ujenzi na barabara wa nchi zao. Hivyo, anatambua uwezo wake wa kutenda kazi kwa ufanisi.

Akielezea jinsi alivyomfahamu Magufuli na kama aliwahi kumdokezea kuwa na mpango wa kuwa rais wa Tanzania siku za usoni, Odinga alisema, “ni mtu mpole, si mtu ambaye ana hamaki. Anafuatilia mambo kabla hajafanya. Yeye mwenyewe amesema tu mara kwa mara eti hawezi kujilazimisha katika hili, lakini watanzania wakiamua yeye atakuwa tayari kuwahudumia hata katika cheo cha urais.”

Alisema chama cha ODM ni rafiki wa Chama Cha Mapinduzi hivyo watakiunga mkono katika mbio hizo za urais wa Tanzania japo hawatajihusisha moja kwa moja na kampeni kwa kuwa kampeni zinapaswa kufanywa na watanzania wenyewe.
Kama Odinga nae na chama chake waliipongeza CCM wote wapumbavu tu kama Chadema tu.Kama nilivyosema wanabase kwenye urafiki wa mtu na mtu na siyo maslahi ya Taifa zao.Ndo maana narudia tena kusema Chadema kamwe hawatakaa washinde.Hawajui kusimama na Taifa .
 
That conclusion haiko valid,kushinda uchaguzi kuna factor nyingi.Huwezi kusema Raila kwa kuunga mkono sera za JPM ndo kumemfanya ashindwe.That is myopic way of thinking You have to let other factors like election fraud,ukabila na other personal issues constant before you come to that conclusion.
 
mccm unaumizwa chama cha upinzani kushindwa uchaguzi.

mbona hapa ketu JK alibadili makamishna bila utaratibu hukuoji au ulikuwa hujaja mjini?[/QUO
Hakuna aloumia mi nawapa ushauri tu acheni kuropoka vitu ambavyo at last vinawacost
 
Duh! Usijiingize kwenye kundi la uhayawani Victoire. Ukweli unaujua na wahuni na mafisadi wa MACCM wanaujua ndiyo maana wakaikana rasimu ya Warioba na Tume Huru ya uchaguzi.

Dikteta uchwara anadai katiba mpya si kipaumbele chake na yule Kabudi anadai itapatikana wakati muafaka! Baada ya miaka zaidi ya 20 na 56 ya uhuru wakati muafaka ni upi?

Wahuni na mafisadi wa MACCM wamechokwa kila kona ya nchi bila wizi wa kura kupitia kitengo chao cha wizi wa kura watapigwa mweleka wa kishindo hata pole pole analijua hilo

Usiropoke tu Chadema haiwezi kushinda wakati unajua fika uchaguzi wa Tanzania si huru na si wa haki.

Utakuwa ni ujinga aliyekuwa rafiki yako amuunge mkono mpinzani wako tena hadharani na kujifanya hajui kama wewe upo halafu wewe ukaendelea kujibaraguza rafiki yangu huyu rafiki yangu huyu. Na kwa taarifa yako hakuna sheria inayosema chama pinzani hakiwezi kuwa rafiki na chama tawala.



Kama Odinga nae na chama chake waliipongeza CCM wote wapumbavu tu kama Chadema tu.Kama nilivyosema wanabase kwenye urafiki wa mtu na mtu na siyo maslahi ya Taifa zao.Ndo maana narudia tena kusema Chadema kamwe hawatakaa washinde.Hawajui kusimama na Taifa .
 
Wale they are moved by people and not ideas, wanamuunga mkono Kenyata kisa tu eti Raila ni rafiki ya Magufuli, nyie CHADEMA, hamjui kuwa Uhuru na Raila watapita tu? Yaani nyie kamwe hamtakaa mtawale Tanzania maana hamjui hata mnasimamia nini? Jirekebisheni.
Sweetness i always respect ur opinion but neno "kamwe" nimelitafsiri " never" just remember never to say never there is always a 1st time.....
 
UKIWA NA AKILI ZAKO TIMAMU UWEZI SHABIKIA CHADEMA HII MBOVU YA LOWASSA.
 
Back
Top Bottom