CHADEMA kugeuka dampo la wanasiasa rejected

CHADEMA kugeuka dampo la wanasiasa rejected

stroke

Ama kweli wahenga na hadithi yao ya sungura eti "sizitaki mbichi hizi"! Wakiwa ccm ni wazuri ila wakiondoka tena kwa hiari yao wanageuka "makapi"! Mbona wachekesha wewe?
 
Last edited by a moderator:
stroke

subiri uone mchakato mbona unakisemea cdm kwan ww ndo nape wake
 
Last edited by a moderator:
Waliokosa haki yao huku CCM wafanyaje? Hawana namna nyingine ya kuonyesha HISIA zao upande wa pili.
 
Waliokosa haki yao huku CCM wafanyaje? Hawana namna nyingine ya kuonyesha HISIA zao upande wa pili.

NI KWELI maana hata Nyerere (msaafu wa ccm) anajua hilo
NASHANGAA kwanini Ngoyai anachelewa kutafuta mabadiliko upande B
 
stroke

Nijuavyo mimi recycle bin uwekwa taka ambazo baadae zinakuwa na matumizi mazuri na faida kwa binadamu na kutunza mazingira.
 
Last edited by a moderator:
Maana halisi ya makapi ni kile kitu kilichoachwa baada ya kuonekana hakifai, je kwa hawa Madiwani wa CCM wanaoondoka CCM na kuingia CHADEMA wameachwa na CCM au wamefukuzwa uanachama? kama jibu litakuwa hapana sidhani kama hiki ulichokiandika kitakuwa na maana halisi unayokusudia

Hao madiwani/ wenyeviti wa vijiji/vitongoji hawajatimuliwa wala kupewa karipio ni wao wenyewe wameamua kujitimua haijalishi kwa mihemko kwa Lowassa ama wao wenyewe chamsingi wameonesha hisia zao! Na hiyo ni aina mpya ya mgomo wa maandamano, kugoma au maandamano si lazima uingie barabarani ili kuonesha hisia zako hata hiyo ya kujitoa wenyewe kwenye chama! Na uzuri wameyaeleza wazi kuwa ni ukiukwaji wa Kanuni, Katiba na taratibu mbalimbali za chama walizojiwekea ambazo zinakiukwa kwa maslahi ya familia ya wachache!
 
stroke

sikubariani na ww! Nadhani ni ukomavu wa demokrasia, lakini kama ukita Kila mtu awe na mawazo mgando km yako then unawaita reject si haki kabisa, Nadhani ndio maana mnazodowana wenyewe kwa wenyewe! Mumeambiwa mlibatilisha haramu na kuwa halali! Siasa ndivyo ilivyo, by the way Nina mashaka na Uwezo wako wa " kucritic/ ku analyse " mambo kwa sababu jina lako linasadifu hiki nachokiandika!muhimu uendelee kufanya physiotherapy!
 
Last edited by a moderator:
Endelea kushanga sisi tunachoma kadi na tunatubu uccm
 
stroke

huo ndo mpasuko uliotabiriwa umeanza na crack nyembamba bado unaendelea,huko ndo kumeguka kwa chama au unasubiria mpasuko gani??
 
Last edited by a moderator:
Rejected ni Juliana Shonza na Mwampamba ambao mmewatumia na sasa wametupwa kapuni hawana kwa kwenda..tehe tehe tehe tehe tehe tehe!
 
stroke

Dawa yenu magamba kumbe ni Nape tu, na atawashughulikia kweli mwaka huu ambao mnajipendekeza kwa CCM. Na post zenu za Lumumba zimeanza kupimwa ndo maana umetoa mapovu mengi sana kwenye hii post.
 
Last edited by a moderator:
chadema wanasubiri ccm wamalize uchaguzi ndani ya chama chao ili wachukue makapi(rejects,oil chafu),kuna tetesi wanataka kuchukua Oil chafu ya Monduli ndio iwe mgombea Urais then wanasubiri kura za maoni za ubunge na udiwani ndani ya ccm wachukue rejects(makapi,left overs)
 
Wawe makini tu wengine wanakuja kwa kazi maalum tu.
 
Maana halisi ya makapi ni kile kitu kilichoachwa baada ya kuonekana hakifai, je kwa hawa Madiwani wa CCM wanaoondoka CCM na kuingia CHADEMA wameachwa na CCM au wamefukuzwa uanachama? kama jibu litakuwa hapana sidhani kama hiki ulichokiandika kitakuwa na maana halisi unayokusudia

Hao madiwani ni makapi tu, baada ya kuona lile kapi kuu limeachwa kwenye nafasi ya juu, sasa wanapokea maelekezo watangulie huko, by the way, wameshajitathmini na wameona hawana ushawishi tena, hayo ni makapi tu.
 
Back
Top Bottom