nyabhera
JF-Expert Member
- Nov 25, 2011
- 660
- 729
Baada ya kuzuiliwa kwa muda mrefu kunya mikutano ya hadhara Bavicha Kahama imeandika barua na kutoa tamko kuwa kama kesho tarehe 22.09.19 CCM wataruhusiwa kutufanya mkutano wa CCM ya kijani na wao watafanya mkutano wa CHADEMA YA Nyekundu siku inayofuata yaani tarehe 23.
Tusubiri tuone. Tayari vipeperushi vimeanza kusambazwa.
View attachment KAHAMA NYEKUNDU 2.pdf
Tusubiri tuone. Tayari vipeperushi vimeanza kusambazwa.