PreGE2025 CHADEMA kuendelea kukusanya saini milioni 15 kupinga wizi wa uchaguzi

PreGE2025 CHADEMA kuendelea kukusanya saini milioni 15 kupinga wizi wa uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Wakuu,

Fisiemu hatujaacha kukusanya saini banaa! G55 aibu yenu :BearLaugh: :BearLaugh:Watanzania tutafikisha saini milioni 30 afu tukae paleee tuwacheki chama cha mambuzi mnavyopaparuka

Soma > Heche: Wagombea wa Ubunge CHADEMA kukusanya Saini milioni 15 kupinga Wizi wa Uchaguzi
:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh:


Heche awaambiwa wanachamdema waendelee kusambaza fomu za petition ili wafikie adhma yao ya kupata saini milioni 15 iliwazipeleke umoja wa mataifa kuonesha watanzania wanapinga uchaguzi wa wizi.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akiwata kuongeza nguvu zaidi kwani sasa kuna juhudi zinafanyika kuhakikisha wananchi hawasaini fomu hizo na kufikisha idadi waliyokusudia.
 
Back
Top Bottom