JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,389
- 9,664
Kutokana na mwenendo wa kampeni ulivyo sasa. Ni dhahili kwamba watu bado wanahitaji maendeleo ya vitu kwa sana. Watu wanahitaji Maji, Umeme, Barabara, Reli, Ndege n.k na sio maneno maneno.
Na kutokana na kampeni zinavyoenda CDM imewakuwa ikiacha wapenzi wake njia panda bila kuonyesha hasa nini itawafanyia toafuti na kuponda tu aliyoya yafanya Rais Magufuli. Mpenzi wa kawaida ya CHADEMA amesikika akisema kwamba wapenzi wa CHADEMA wana Kiu sana ya Maendeleo lakini kwa hakika Magufuli ndie mwenye kuleta maendeleo hayo na sio Maneno tu ya Lissu.
Na kutokana na vyanzo mbalimbali hadi sasa Lissu imebidi nae abadili kampeni zake na kuendelea kuahidi kujenga Reli(Rukwa), Kujenga Barabara lakini bado hajasema sawasawa.
Ikumbukwe kwamba watu wengi hasa wa kijijini wanataka maendelo ya vitu ikiwemo, shule za karibu, Maji, barabara. n.k.
Je, CHADEMA kinabadili gia angani?.
Ushauri.. CHADEMA futeni sera ya madini inasumbua huku mtaani.
Na kutokana na kampeni zinavyoenda CDM imewakuwa ikiacha wapenzi wake njia panda bila kuonyesha hasa nini itawafanyia toafuti na kuponda tu aliyoya yafanya Rais Magufuli. Mpenzi wa kawaida ya CHADEMA amesikika akisema kwamba wapenzi wa CHADEMA wana Kiu sana ya Maendeleo lakini kwa hakika Magufuli ndie mwenye kuleta maendeleo hayo na sio Maneno tu ya Lissu.
Na kutokana na vyanzo mbalimbali hadi sasa Lissu imebidi nae abadili kampeni zake na kuendelea kuahidi kujenga Reli(Rukwa), Kujenga Barabara lakini bado hajasema sawasawa.
Ikumbukwe kwamba watu wengi hasa wa kijijini wanataka maendelo ya vitu ikiwemo, shule za karibu, Maji, barabara. n.k.
Je, CHADEMA kinabadili gia angani?.
Ushauri.. CHADEMA futeni sera ya madini inasumbua huku mtaani.