Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
Team nzima ya Chadema Mara chini ya Mhe (Mb)Vincent J Nyerere akiwa pamoja na viongozi mbali mbali leo watahutubia wanainchi wa maeneo ya Nyakatende hii ni kuanza kuwa ziara ya mkoa mzima wa Mara.
team nzima ya chadema mara chini ya mhe (mb)vincent j nyerere akiwa pamoja na viongozi mbali mbali leo watahutubia wanainchi wa maeneo ya nyakatende hii ni kuanza kuwa ziara ya mkoa mzima wa mara.
Nyie watu wa Lumumba nyiehapo tutegemee vifo tena maana ndo sela ya m4c
m4c ipigwe marufuku tunapoteza watz wenzetu kwenye vurugu ziszokuwa na msing
hapo tutegemee vifo tena maana ndo sela ya m4c
Vipi BUNDA atafka?