i concur, ccm imeaibika sana, JK ameaibika sana, believe me sasa wamemjua rasmi who is Dr Slaa and chadema machinery, waliwadharau, waliwabeza, sasa inakula kwao. Nasubiria wiki chache zijazo na bunge lifunguliwe rasmi april sijui hawa jamaa watasema nini hata sijui. Shame on JK and CCM pupets