calculator
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 279
- 137
Salaam Wanajamvi,
Nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mwenyekiti wa CDM kata yetu hii anautumia vzr wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu. Jana Ijumaa alinunuliwa pikipiki namba MC 249 AGN aina ya boxer na mtia nia Josephat Shio. Kama vile haitoshi ndugu Shio alimlipia mwenyekiti huyo bwana Renatus Kimario deni la LIFAN SACCOS alilokuwa anadaiwa jumla ya Tsh. 2,100,000/ (milion mbili na laki moja). Taarifa hizi zimetufedhehesha sana sisi wanachama na wapenzi wa Chadema kimandolu.
Aidha mtia nia huyo ndg. Shio amejinasibu kuwa ameiweka mfukoni kamati tendaji ya kata ambayo kikatiba ndio yenye jukumu la kumteua mgombea. Kwa mujibu wa mtoa taarifa aliyekuwepo na ndg. Shio kwenye bar ya Arena jana Ijumaa ametanabaisha kuwa wajumbe 10 wa kamati hiyo walipewa jumla ya shilingi milioni tatu na aliyekabidhiwa fedha hizo ni Mosses Msuya ambae ni mwenyekiti wa mtaa wa Tindigani kwa maelekezo kuwa awapatie Tsh. laki 3 kila mmoja.
Hizi ni taarifa mbaya hususan kipindi hiki kuelekea uchaguzi mwezi oktoba. Nawasilisha
Nijikite moja kwa moja kwenye hoja yangu. Mwenyekiti wa CDM kata yetu hii anautumia vzr wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuu. Jana Ijumaa alinunuliwa pikipiki namba MC 249 AGN aina ya boxer na mtia nia Josephat Shio. Kama vile haitoshi ndugu Shio alimlipia mwenyekiti huyo bwana Renatus Kimario deni la LIFAN SACCOS alilokuwa anadaiwa jumla ya Tsh. 2,100,000/ (milion mbili na laki moja). Taarifa hizi zimetufedhehesha sana sisi wanachama na wapenzi wa Chadema kimandolu.
Aidha mtia nia huyo ndg. Shio amejinasibu kuwa ameiweka mfukoni kamati tendaji ya kata ambayo kikatiba ndio yenye jukumu la kumteua mgombea. Kwa mujibu wa mtoa taarifa aliyekuwepo na ndg. Shio kwenye bar ya Arena jana Ijumaa ametanabaisha kuwa wajumbe 10 wa kamati hiyo walipewa jumla ya shilingi milioni tatu na aliyekabidhiwa fedha hizo ni Mosses Msuya ambae ni mwenyekiti wa mtaa wa Tindigani kwa maelekezo kuwa awapatie Tsh. laki 3 kila mmoja.
Hizi ni taarifa mbaya hususan kipindi hiki kuelekea uchaguzi mwezi oktoba. Nawasilisha