mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
mimi najiuliza hawa watu wanaokuja na falsafa kuwa tumepigania chama inabidi tupitishwe kugombea....jaman chama ni taasisi hivi kila anaepigania chama akitaka yeye apitishwe hicho kitakua chama tena maana kitakua na wagombea wa kudumu...chama hakisimamishi mtu kisa kapigania bali unasimamishwa kutokana na ushawishi wako na kupendwa kwako na watanzania....lengo la chama ni kuchukua dola kama lengo ni kugombea tu haya mnaruhusiwa kugombea.....huu ni muda adimu umewadia ni kusonga mbele tu hakuna kurudi nyuma ..hata kwenye mpira wa miguu kuna wengine ni wabinafsi wanataka kufunga wao tuu ila kinachotakiwa ni ushindi unaweza kufunga hata magoli 8 lkn kombe anachukua mwenzako kila cku wewe msindikizaji muda wa ushindi ni huu..tuache ubinafsi