Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Guys let us talk and argue about issues, kuingi jamii forum mwaka 1961 au 2011 doesnt really make any difference! VUA GAMBA, LAT hii sio forums ya kutaja kwa ufahari viungo vya miili vya ndani.... shame upon you guys! This forum is very critical for the development of this country. Hisia zenu zinaeleweka lakini zinazuilika. I advise to you.... ( mnaweza mkatukanana mnavyoweza through private messages in your mail boxes, mtaziona nyie wawili na Mods tu).
Mods kama unashindwa kuwa ban hawa jamaa wawili lazima utakua na matatizo! wamekuhonga? unaogopa nini? au kuna times unafurahia huo upupu? sasa jinsi ulivyokua makini utani BAN mimi!!!!! Blessings
Mods kama unashindwa kuwa ban hawa jamaa wawili lazima utakua na matatizo! wamekuhonga? unaogopa nini? au kuna times unafurahia huo upupu? sasa jinsi ulivyokua makini utani BAN mimi!!!!! Blessings