Ally mvano
Member
- Jul 31, 2014
- 73
- 24
Mkutano wa Chadema K/Kaskazini umefana sana katika kijiji cha nyarubanda maelfu ya wakazi wamefika kumsikiliza Dr. Yeredi kubusa Kamanda na Mbunge mtarajiwa Kigoma Kaskazini hongera Dr Kwa speech NZURI na ya kisomi
Ni matumain yangu hamtamuangusha
Ni matumain yangu hamtamuangusha