Chadema kesho kupiga kura za maoni Arumeru

Chadema kesho kupiga kura za maoni Arumeru

Molemo

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
14,620
Reaction score
13,361
Kila la kheri.Tunaamini ushindi ni kwa Joshua Nassary
 
Mbona mgombea kaishapatikana siku nyingi hizo kura ni kujikosha tu, mgombea ni yule aliyefanyiwa harambee na viongozi wa Chadema.
 
Hivi waliochukua form ni wangapi na majina yao ni yapi?
 
Taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya chadema ni kwamba wanachama wa chadema jimbo la arumeru wanapiga kura za maoni ili kumpata mtu ambaye wanadhani ataweza kupambana na magamba hatimaye kushinda.

Kutokana na ukweli huo tunaomba chadema wasijerudia mizengwe kama ya ccm. Hakikisha kila jambo halivunji katiba,kanuni na taratibu ili kutosababisha makundi ndani ya chama na kufanya kampeni kuwa ngumu.

Mchuano unawahusisha member wangapi?
 
Mbona mgombea kaishapatikana siku nyingi hizo kura ni kujikosha tu, mgombea ni yule aliyefanyiwa harambee na viongozi wa Chadema.

kama unalijua hili tatizo lako nini?
 
Kila la heri kwa wana CDM lakini mwisho wa siku itakuwa ni kama Igunga na Uzini.
 
Kwa nini tuukatae ukweli na kutaka kuuthibitisha uongo hili ilitatugharimu mi nadhani ili hili liwe sawa ni bora kusema kinachokwenda kufanyika ni formalities tu and nothing else........... Ukweli ulishajulikana sasa kwa nini kuwekwe tena chembe za uongo........ Kila lakheri Joshua Nassary
 
Mbona mgombea kaishapatikana siku nyingi hizo kura ni kujikosha tu, mgombea ni yule aliyefanyiwa harambee na viongozi wa Chadema.

Thibitisha unayoyasema. Vinginevyo unataka kuleta chokochoko ili ionekane CDM hakuna demokrasia kama CCM. Maana katiba ya CCM haisemi mshindi ni yule aliyepata zaidi ya asilimia 50 ya kura za maoni; lakini kwa manufaa ya kundi fulani wameamua kura zirudiwe ili kumpata mgombea
 
Mbona mgombea kaishapatikana siku nyingi hizo kura ni kujikosha tu, mgombea ni yule aliyefanyiwa harambee na viongozi wa Chadema.

na nyie wenu ni yupi ni huyu mkwe wa lowasa au??
 
tunaomba kama jina la chama lilivo demokrasia izingatiwe, na demokrasia ni pamoja na kukubali kushindwa! maana chama ni kimoja kina itikadi moja katiba moja na sera moja kwa hiyo kura zipigwe bila mizengwe yoyote ili wataoshindwa waungane na mshindi kupeperusha bendera ya chama na hatimaye kutwaa hicho kiti,hatutaki kusikia walioshindwa wakilalamikia rushwa na kukimbilia vyama vingine kumbukeni kupambana na rushwa na ufisadi na kupanua wigo wa demokrasia na hatimaye maendeleo kwa wananchi ndio ajenda kuu ya chama sasa itekelezwe kwa vitendo huko Arumeru CCM nao wajifunze toka CHADEMA, Mungu Awabariki!!
 
Kwa nini tuukatae ukweli na kutaka kuuthibitisha uongo hili ilitatugharimu mi nadhani ili hili liwe sawa ni bora kusema kinachokwenda kufanyika ni formalities tu and nothing else........... Ukweli ulishajulikana sasa kwa nini kuwekwe tena chembe za uongo........ Kila lakheri Joshua Nassary

Mtaweweseka sana lakini Joshua Nassary atawatoa kamasi Magamba
 
na nyie wenu ni yupi ni huyu mkwe wa lowasa au??

Wanazuga naona wanataka kumtosa mkwe wa Lowassa wameweke mtu wa Nape(SARAKIKYA) maana hii ni kupimana ubavu,NAPE vs LOWASSA
 
Cdm hatubahatishi nimoto mpaka magogon duru lapili?utasubiri sana mwambie ****** hatuogopi risas tumezizowea
 
Back
Top Bottom