CHADEMA kata ya Sombetini mmetulekeza

CHADEMA kata ya Sombetini mmetulekeza

CCM wamechangia kuiba kodi za Wanaarusha na kuleta ufitini wa kupiga vita Mkurugenzi ili wapate mianya mizuri ya kuiba lakini hakuna kitu hapo Chadema wapo na watawathibiti tu

chadema haijachangia chochote kwenye maendeleo ya arusha
 
mbona tunalipa shiling elfu moja tu kwa kila mwezi kama mimi nipo maua mbauda na hao migambo hawajawai hata kugonga kwenye mlango wangu ni kwa sababu nalipa kwa wakati migambo huwa wanawatembelea wasumbufu wa kulipa ushuru wa taka ndo inapokubidi ulipe na faini binafsi nawashukuru chadema maana hata zile elfu mbili walizokua wanatudai za ulinzi usioonekana hata sa nane ucku wameacha kudai hivyo mr lipa ushuru kwa wakati maana sa hv umepungua si kama zamani.
 
Mlikuja mkatuomba kura,tukawapa,tukazilinda na hatimae pamoja tukashinda.Baada ya uchaguzi mlikuja tena viwanja vya Mbauda kutushukuru wananchi,

Katika kero mlizoahidi mtazitekeleza ni kuhusu urasimu na ufisadi unaofanywa na sombetini youth,wakusanyaji wa taka, nakumbuka vizur mh. Lema aliahidi atatoa gari la taka tractor na wananchi tuchangie mia tano,baada ya hapo siku kadha mh. Bananga alipita akautangazia umma kwamba tutachangia 1000 badala ya 500,tukamuelewa.

Tatizo leo vijana wa Sombetini Youth wako mtaani na migambo wanakamata watu wanaogoma kuwalipa kiwango wanachotaka wao elfu saba na wengine elfu tatu,elfu tano,huu uoenevu na usumbufu mpaka lini?

Tulikuchagua Bananga tukiamini utaweza kutuwakilisha na kusimamia haki zetu,uko hapo ofisini unaona hili jambo.

hayo ndio matunda ya cdm, tulieni tuwakamue vizuri, wanafiki haya ndio malipo yao
 
Ngoja mkunwe zaidi kwakukubali kuongozwa na wachumia tumbo.
 
Back
Top Bottom