CHADEMA kata ya Sombetini mmetulekeza

CHADEMA kata ya Sombetini mmetulekeza

Bigjahman

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
900
Reaction score
512
Mlikuja mkatuomba kura,tukawapa,tukazilinda na hatimae pamoja tukashinda.Baada ya uchaguzi mlikuja tena viwanja vya Mbauda kutushukuru wananchi,

Katika kero mlizoahidi mtazitekeleza ni kuhusu urasimu na ufisadi unaofanywa na sombetini youth,wakusanyaji wa taka, nakumbuka vizur mh. Lema aliahidi atatoa gari la taka tractor na wananchi tuchangie mia tano,baada ya hapo siku kadha mh. Bananga alipita akautangazia umma kwamba tutachangia 1000 badala ya 500,tukamuelewa.

Tatizo leo vijana wa Sombetini Youth wako mtaani na migambo wanakamata watu wanaogoma kuwalipa kiwango wanachotaka wao elfu saba na wengine elfu tatu,elfu tano,huu uoenevu na usumbufu mpaka lini?

Tulikuchagua Bananga tukiamini utaweza kutuwakilisha na kusimamia haki zetu,uko hapo ofisini unaona hili jambo.
 
Acheni ujinga lipieni hela ya taka.
 
Mlikuja mkatuomba kura,tukawapa,tukazilinda na hatimae pamoja tukashinda.Baada ya uchaguzi mlikuja tena viwanja vya mbauda kutushukuru wananchi,katika kero mlizoahidi mtazitekeleza ni kuhusu urasimu na ufisadi unaofanywa na sombetini youth,wakusanyaji wa taka, nakumbuka vizur mh Lema aliahidi atatoa gari la taka tractor na wananchi tuchangie mia tano,baada ya apo siku kadha mh Bananga alipita akautangazia umma kwamba tutachangia 1000 badala ya 500,tukamuelewa,tatizo leo vijana wa sombetini youth wako mtaani na migambo wanakamata watu wanaogoma kuwalipa kiwango wanachotaka wao elfu saba na wengine elfu tatu,elfu tano,huu uoenevu na usumbufu mpaka lini,?tulikuchagua bananga tukiamini utaweza kutuwakilisha na kusimamia haki zetu,uko apo ofisini unaona hili jambo



katika majimbo yote yaliyo chini ya cdm ni virio vitupu .dawa ni kumbwaga lema tu
 
Tena saiv ni kupelekwa kituo kidogo cha police sombetini,ili kutolewa unataki wa kutoa elfu hamisi,
 
Kalenga walimshtukia mh, lema baada ya kuwazuga eti cdm itaokoa hali mbaya ya watoto wa shule
 
Kalenga walimshtukia mh, lema baada ya kuwazuga eti cdm itaokoa hali mbaya ya watoto wa shule

Wewe ni Mpumb.avu. Kwani unaona hali za watanzania waliyowengi ni nzuri au kwa vile mnawadangnya kwa kukosa kwao shule kichwani? CCM hamtadumu milele acheni dharau hizo.
CC:MSALAN
 
bananga kwanza ana muda gani tangu mumchague huko ni mapema sana mpeni muda analifanyia kazi
 
Lema aliahidi ilo gari litatolewa siku moja baada ya mkutano,mpaka leo tunavyonyanyaswa hivi ata bananga hayupo ofisini kwake kututetea na huu ubabe wa mgambo na mapolisi feat sombetini youth .naamini imani itapungua apo dhidi yenu
 
Mlikuja mkatuomba kura,tukawapa,tukazilinda na hatimae pamoja tukashinda.Baada ya uchaguzi mlikuja tena viwanja vya Mbauda kutushukuru wananchi,

Katika kero mlizoahidi mtazitekeleza ni kuhusu urasimu na ufisadi unaofanywa na sombetini youth,wakusanyaji wa taka, nakumbuka vizur mh. Lema aliahidi atatoa gari la taka tractor na wananchi tuchangie mia tano,baada ya hapo siku kadha mh. Bananga alipita akautangazia umma kwamba tutachangia 1000 badala ya 500,tukamuelewa.

Tatizo leo vijana wa Sombetini Youth wako mtaani na migambo wanakamata watu wanaogoma kuwalipa kiwango wanachotaka wao elfu saba na wengine elfu tatu,elfu tano,huu uoenevu na usumbufu mpaka lini?

Tulikuchagua Bananga tukiamini utaweza kutuwakilisha na kusimamia haki zetu,uko hapo ofisini unaona hili jambo.

We kama unazalisha lori zim la taka, alafu unataka utozwe 1,000 shauriako. Tena wewe mleta uzi huu inaonekana nyumbani kwako ndio kinara wa kuzalisha taka?
 
Enyi wakazi wa SOMBETINI, lipeni hela ya taka, LEMA hana gari wala trekta kwa ajili ya kuzoa na kusomba taka, Hata akiwa nalo sheria za manispaa haziruhusu mtu mmoja mmoja kukusanya taka na kupeleka dampo ila ni Mkandarasi maalumu aliyepatikana kupitia Zabuni iliyotangazwa. fuateni sheria kama zilivyowekwa na mamlaka. Halafu siku nyingine msirudie tena kuamini maneno ya LEMA.
 
Hii head title inaonyesha ni jinsi gani umekurupuka [h=2]
icon1.png
Re: CHADEMA kata ya Sombetini mmetutekeleza [/h]
 
kwani maisha bora toka kwa kikwete umishayapata hadi sasa? ana muda gani madarakani? amebakiza muda gani?

wapeni muda viongozi wenu bwana, mbona lema aliwaahidi Hospitali majuzi akapewa kiwanja cha kujengea hiyo hospitali? acheni ushamba eti!!!
 
Lema aliahidi ilo gari litatolewa siku moja baada ya mkutano,mpaka leo tunavyonyanyaswa hivi ata bananga hayupo ofisini kwake kututetea na huu ubabe wa mgambo na mapolisi feat sombetini youth .naamini imani itapungua apo dhidi yenu

Tatizo la rafiki yangu Bananga ni pombe.Jamaa ni mlevi balaa,asipojirekebisha mwisho wake 2015.
 
katika majimbo yote yaliyo chini ya cdm ni virio vitupu .dawa ni kumbwaga lema tu

Gamba Tony, "virio" ni nini? Hivi huwa hamuwezi kuzificha hizo Division 5 zenu nyie washabiki wa chama cha madhaifu (CCM)?
 
Wewe ni Mpumb.avu. Kwani unaona hali za watanzania waliyowengi ni nzuri au kwa vile mnawadangnya kwa kukosa kwao shule kichwani? CCM hamtadumu milele acheni dharau hizo.
CC:MSALAN

Kazoeni taka Sombetini acheni matusi.
 
Lema aliahidi ilo gari litatolewa siku moja baada ya mkutano,mpaka leo tunavyonyanyaswa hivi ata bananga hayupo ofisini kwake kututetea na huu ubabe wa mgambo na mapolisi feat sombetini youth .naamini imani itapungua apo dhidi yenu
Unatumika,Wassira aliahidi unafuu wa gharama mji mdogo wa bunda miaka 9 iliyopita licha ahadi za mwezi unusu sombetini.
 
kwani maisha bora toka kwa kikwete umishayapata hadi sasa? ana muda gani madarakani? amebakiza muda gani?

wapeni muda viongozi wenu bwana, mbona lema aliwaahidi Hospitali majuzi akapewa kiwanja cha kujengea hiyo hospitali? acheni ushamba eti!!!

Alaa! kumbe unajua kwamba kuna swala la kupewa muda! Vipi kibabu anavyowakaga na kuitisha maandamano kwa kila jambo!
 
Unatumika,Wassira aliahidi unafuu wa gharama mji mdogo wa bunda miaka 9 iliyopita licha ahadi za mwezi unusu sombetini.

Acha usloomo wewe,nimelipishwa elfu 50 kisa siasa majitaka alaf unaniambia natumika,kwa taarifa tu mi mwanachadema kamili,ila kwa matendo haya inaboa maana tunachapwa mdomo na magamba apa,UDUWANSI
 
Back
Top Bottom