CHADEMA Kasulu kupasuka

CHADEMA Kasulu kupasuka

mwanzo wetu

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
1,587
Reaction score
466
Niombe niwashauli CHADEMA wawe makini siasa zimebadilika sana, Kasulu chadema ilikuwa imekaa sawa ila Jimbo la Kasulu wakiwemo viongoza wa mkoa wanavurugana, Mwenyekiti wa jimbo la Kasulu ndugu Ntahindwa pamoja na mwenyekiti Ndugu Rajabu Bujoro wanadai kumfukuza katibu wao nakutokumtambua ndugu kwasa kwasa , zaidi anadaiwa kukivuruga chama hicho na wakamfukuza hivyo baada ya viongozi wake kumfukuza mkoa wamemkumbatia jambo ambalo limepelekea Viongozi hao wanaompinga kupanga na kuahidi muda wowote kuhamia ccm kwa madai yakushindwa kukaa penye migogoro.

Najuzi katibu Mkuu tz bara mashinji ametoka na ameukuta mgogoro huo akiwa na mwenyekiti was vijana taifa na wawerudi bila kuumalzia jambo litkaloharibu chma baada ya watu hao kuhamia CCM.

Nb:Chadema tujifunze kutatua migogoro yetu bila uathili chama
 
Hapa Kasulu ninyi pasukeni tu wala haitaisumbua Chadema. Wote ninyi hamieni ccm lkn bado chadema itazidi kupasua anga.

Yaani unataka katibu mkuu afanye kazi kwa hofu ya hao waha wabishi kuhamia ccm?
 
Huyo mzee Ni shida maneno mengi mdomoni tu

Huyo mzee alikuwa matatizo toka yuko NCCR, kuna kipindi aligombea udiwani akashindwa, ndiyo kuhamia Chadema.

Sema hiyo ndiyo reflection ya upinzani, kuanzia ngazi za tarafa mpaka Taifa.

Nani anaimiliki Kasudeco kwa sasa?
 
Ku
Huyo mzee alikuwa matatizo toka yuko NCCR, kuna kipindi aligombea udiwani akashindwa, ndiyo kuhamia Chadema.

Sema hiyo ndiyo reflection ya upinzani, kuanzia ngazi za tarafa mpaka Taifa.

Nani anaimiliki Kasudeco kwa sasa?
Kuna jina naskia sijui kimila kitu Kama hicho na Diwani mmoja mi huwa napita hapa na kutia kambi Kisha natembea zangu ila kamji kamekua balaa tofauti na 4 yrs ago
 
Ku
Kuna jina naskia sijui kimila kitu Kama hicho na Diwani mmoja mi huwa napita hapa na kutia kambi Kisha natembea zangu ila kamji kamekua balaa tofauti na 4 yrs ago

Huyo Kimila alichukua demu wa mshikaji, namfahamu jamaa.

Sijui kama bado wako na huyo mama.
 
Kashawapita kina Dyoya?
Hawa kina dyoya wenye trucks na supplier wa pembejeo siyo? Sijui kivile utajiri wao kimila namfahamu kimtindo alisupply materials kipindi Fulani nikiwa field Kanda hizo alikuwa vizuri sijui kwa sasa nilitoka huko miaka hapo huwa napita tu
 
Hawa kina dyoya wenye trucks na supplier wa pembejeo siyo? Sijui kivile utajiri wao kimila namfahamu kimtindo alisupply materials kipindi Fulani nikiwa field Kanda hizo alikuwa vizuri sijui kwa sasa nilitoka huko miaka hapo huwa napita tu

Okay, ni muda sijafatilia mishe za huko. Dyoya ana kijana wake naona kama anataka kugombea ubunge 2020 kupitia CCM anaitwa David, naona siku hizi anajipendekeza sana kwa viongozi wa chama.
 
Okay, ni muda sijafatilia mishe za huko. Dyoya ana kijana wake naona kama anataka kugombea ubunge 2020 kupitia CCM anaitwa David, naona siku hizi anajipendekeza sana kwa viongozi wa chama.
Hawezi tena hata kusikia harufu ya kupita na kugombea chochote kwa Kasulu kwa sasa maandalizi ya ndalichako yako juu.
 
Back
Top Bottom