Chadema kaa chonjo uzini zanzibar

Chadema kaa chonjo uzini zanzibar

saguge

Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
34
Reaction score
7
Taarifa zilizo nifikia za kuaminika ni kwamba ccm kuanzia juma tano wataanza kupita nyumba kwa nyumba wakigawa fedha.taarifa imepatikana katika kikao cha pamoja na mgombea wa ccm mohamedraza kilicho fanyika katika shehia ya mpapa.hii inawezekana kwa sababu jimbo la uzini lina wapiga kura 8000 na hivyo inawezekana kuwa honga wote.pamoja na mipango yao hiyo ya rushwa cuf nao badala ya kuomba kura wanaitukana chadema na juzi usiku walikuwa katika shehia ya umbuji wakigawa kanga.kuna tetesi kwamba kamanda mbowe na dr slaa wanaingia kuanzia ijumaa kuongeza nguvu.ukombozi ni sasa na chadema msikatishwe tamaa na watu ambao wamevaa miwani ya mbao na masikioni wameweka pamba na kwa bahati mbaya na wengine wamo humu jf kwa masikitiko makubwa mtu yeyote mwenye akili timamu haungi mkono magamba.haya wambea lete pumba au hoja!
 
Tunazifahamu vimbwenga vya CCM hazitutishi. Wapiga kura wa uzini wanaelewa pumba ni ipi na mchele ni upi.
 
Wakuu taarifa hizi zisiachwe tu zikapita. Tanzania hii jamani, inaelekea kwenye shimo na tusipolitambua mapema, hakika kutumbukia kwetu hatutatoka kamwe.
Chadema komboeni nchi hii, kwani msipofanya hivyo historia itawahukumu ninyi kuliko CCm wala chama kingine chochote
 
Mkuu kichwa cha habari hii si kizuri hata kidogo. Ashakumu..... kisome taratibu uone kilivyo.
 
Taarifa zilizo nifikia za kuaminika ni kwamba ccm kuanzia juma tano wataanza kupita nyumba kwa nyumba wakigawa fedha.taarifa imepatikana katika kikao cha pamoja na mgombea wa ccm mohamedraza kilicho fanyika katika shehia ya mpapa.hii inawezekana kwa sababu jimbo la uzini lina wapiga kura 8000 na hivyo inawezekana kuwa honga wote.pamoja na mipango yao hiyo ya rushwa cuf nao badala ya kuomba kura wanaitukana chadema na juzi usiku walikuwa katika shehia ya umbuji wakigawa kanga.kuna tetesi a kamanda mbowe na dr slaa wanaingia kuanzia ijumaa kuongeza nguvu.ukombozi ni sasa na chadema msikatishwe tamaa na watu ambao wamevaa miwani ya mbao na masikioni wameweka pamba na kwa bahati mbaya na wengine wamo humu jf kwa masikitiko makubwa mtu yeyote mwenye akili timamu haungi mkono magamba.haya wambea lete pumba au hoja!

Hao ndio CUF

View attachment 46939
 
CUF ni sawa na mfa maji asiyeisha kutapatapa! Hukumu itawashukia
 
Mkuu kichwa cha habari hii si kizuri hata kidogo. Ashakumu..... kisome taratibu uone kilivyo.

Ama kweli JF. hata mimi baada ya kukirudia taratiibu nimegundua siyo kizuri kabisa. Mleta uzi huu itabidi abadilishe maneno..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom