CHADEMA jitoeni Chalinze kuepuka fedheha

CHADEMA jitoeni Chalinze kuepuka fedheha

Ni nn maana ya vyama vingi naona umekojolewa ww, futen bac nyama vingi mbaki na ccm tu, fikiri kichwa chako acha kufikir makalio, lazima tuonyeshe upinzan

Vizuri sana ila visingizio NOOOOOOOOOOOO.!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!

..CCM nayo kwanini inatumia mapesa mengi kiasi hicho kwa kampeni ambayo wanajua ushindi ni 99.99%?

..badala ya sare za chama, kofia, na mabango ya kampeni, kwanini wasiwanunulie wanafunzi uniforms, vitabu, na madaftari??

cc Simiyu Yetu, THE BIG SHOW, Ritz
 
Last edited by a moderator:
chama kinashiriki uchaguzi kinapokua na uhakika wa kushinda tu? nijuavyo ni fursa ya chama kujitangaza na kunadi sera zake. inawezekana kabisa matunda ya CDM kushiriki chaguzi hizi yasionekane sasa lakini wakawa wamejenga msingi imara miaka michache ijayo!
Hii ni fursa ya kukijenga chama na kufanya kampeni kwa chaguzi zijazo. Ni kweli kuwa hatuendi kushinda lakini kwenda ni muhimu. Kupanda mbegu na kuvuna ni tofauti. Ukiona uvivu kwenda kupanda kwa kuwa hutarudi nyumbani na kitu, tutakutambua wakati wa mavuno. Twendeni Chalinze kupanda mbegu!
 
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!

Well said kaka Kimboka
 
Chadema hawawezi kujitoa watakufa njaa bavicha wanategemea posho za chama kusukuma gurudumu la njaa
 
..CCM nayo kwanini inatumia mapesa mengi kiasi hicho kwa kampeni ambayo wanajua ushindi ni 99.99%?

..badala ya sare za chama, kofia, na mabango ya kampeni, kwanini wasiwanunulie wanafunzi uniforms, vitabu, na madaftari??

cc Simiyu Yetu, THE BIG SHOW, Ritz
Wanachofanya CCM ni kujenga chama kuelekea uchaguzi mkuu 2015, jimbo la Chalinze siyo issue kwa CCM Dr.Slaa na Mbowe wanalijua hilo.
 
Last edited by a moderator:
True story: kuna mshkaji Mmalaysia alimuga mkewee anaenda China. Mke akamsindikiza hadi airport, kumbe jamaa kaingia na kutoka kisha akazama kwa mchepuko. Sasa jamaa amenasa kwenye apartment ya mchepuko hawezi kutoka maana ndege aliyoaga anasafiri nayo ndio ile iliyopotea

Kweli lafiki alikua anakuja kwangu. Bado mimi nasubilia yeye
 
Wanachofanya CCM ni kujenga chama kuelekea uchaguzi mkuu 2015, jimbo la Chalinze siyo issue kwa CCM Dr.Slaa na Mbowe wanalijua hilo.

..but dont u think they r overdoing it?

..hizi kampeni nadhani Ridhiwani peke yake alikuwa anatosha kuziendesha.

..kwa ule ufunguzi tu wa kampeni inaonekana CCM wametumia mapesa mengi Chalinze kuliko Kalenga.

..inawezekana ni kwasababu mgombea hapo Chalinze ni Ridhiwani, na kwamba hata watoto wa vigogo nao wana madaraja yao.
 
Sio kwamba cdm wanashiriki chaguzi hizi kwa ajili ya kushinda bali ndio njia pekee kwa wakaskaz kugawana ruzuku za chama na kusingizia gharama za uchaguzi
 
Sio kwamba cdm wanashiriki chaguzi hizi kwa ajili ya kushinda bali ndio njia pekee kwa wakaskaz kugawana ruzuku za chama na kusingizia gharama za uchaguzi

Asante kwa Taarifa Ndugu Marikiti.
 
Ridh,Chakaza kaka,hii ni nchi yako,Baba yako kuwa Rais hakunyimi haki ya kikatiba wanafiki hawa wanaojiita watetezi wake,ya wewe kuchagua na kuchaguliwa,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom