CHADEMA jitoeni Chalinze kuepuka fedheha

CHADEMA jitoeni Chalinze kuepuka fedheha

kingukitano

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,971
Reaction score
497
Kwa utafiti nilioufanya katika mitaa na vijiji vya Chalinze,CHADEMA watavuna aibu itakayo wakatisha tamaa mbaya,Ridhwani Kikwete ameonekana kukubalika Sana na kuungwa mkono na Rika zote,kijana anatajwa kuwa mwenye misimamo na asiyeyumba katika mahitaji ya Umma,

Suleiman Maneno anasema,Unakua kaka Ridhwani Ni kijana na nikuambie huyu anaonekana kukubalika kwa wapiga kura kuliko hata wsna ccm waliopita,

CHADEMA natoa tahadhari mapema,kuliko kupiteza raslimali,Kijana Kikwete Ridhwani atawaangusha vibaya Sana.

Nilitoa tahadhari hii kupitia kaka yangu Abdul Kazi juu ya kalenga mkanitukana,sasa tukaneni lakini Chalinze Ni pagumu kuliko kalenga.

Songa Ridhwani,
Wewe Ni Mzalendo na kijana mnyenyekevu.

Wstakao puuza waraka huu wasubiri matokeo.
 
Kwa utafiti nilioufanya katika mitaa na vijiji vya Chalinze,Chadema watavuna aibu itakayo wakatisha tamaa mbaya,Ridhwani Kikwete ameonekana kukubalika Sana na kuungwa mkono na Rika zote,kijana anatajwa kuwa mwenye misimamo na asiyeyumba katika mahitaji ya Umma,

Suleiman Maneno anasema,Unakua kaka Ridhwani Ni kijana na nikuambie huyu anaonekana kukubalika kwa wapiga kura kuliko hata wsna ccm waliopita,

Chadema natoa tahadhari mapema,kuliko kupiteza raslimali,Kijana Kikwete Ridhwani atawaangusha vibaya Sana.

Nilitoa tahadhari hii kupitia kaka yangu Abdul Kazi juu ya kalenga mkanitukana,sasa tukaneni lakini Chalinze Ni pagumu kuliko kalenga.

Songa Ridhwani,
Wewe Ni Mzalendo na kijana mnyenyekevu.

Wstakao puuza waraka huu wasubiri matokeo.

True story: kuna mshkaji Mmalaysia alimuga mkewee anaenda China. Mke akamsindikiza hadi airport, kumbe jamaa kaingia na kutoka kisha akazama kwa mchepuko. Sasa jamaa amenasa kwenye apartment ya mchepuko hawezi kutoka maana ndege aliyoaga anasafiri nayo ndio ile iliyopotea
 
Ni nn maana ya vyama vingi naona umekojolewa ww, futen bac nyama vingi mbaki na ccm tu, fikiri kichwa chako acha kufikir makalio, lazima tuonyeshe upinzan
 
True story: kuna mshkaji Mmalaysia alimuga mkewee anaenda China. Mke akamsindikiza hadi airport, kumbe jamaa kaingia na kutoka kisha akazama kwa mchepuko. Sasa jamaa amenasa kwenye apartment ya mchepuko hawezi kutoka maana ndege aliyoaga anasafiri nayo ndio ile iliyopotea

Hahahahahahaha
 
Ni nn maana ya vyama vingi naona umekojolewa ww, futen bac nyama vingi mbaki na ccm tu, fikiri kichwa chako acha kufikir makalio, lazima tuonyeshe upinzan

Ni ushauri kulinda pesa za sacoss
 
Mkuu unawashauri vibaya hawa waungwana waache waje maana hata vipigo weshazoea sisi tunaendelea kuwashughulikia hadi tupate nao mtoto ni lazima watuzalie hawa hawana ujanja watakwepaa lakini mkong'oto uendelee kwa mwanaccm yeyote ni lazima afurahi akiona Chagadema wanalia! Kwa hiyo Mkuu tuache tuone Chopa zinavyoruka then wanavyoondoka na maumivu usiku usiku bila kuaga kama akina Wenje walivyoulaza.
 
Mkuu unawashauri vibaya hawa waungwana waache waje maana hata vipigo weshazoea sisi tunaendelea kuwashughulikia hadi tupate nao mtoto ni lazima watuzalie hawa hawana ujanja watakwepaa lakini mkong'oto uendelee kwa mwanaccm yeyote ni lazima afurahi akiona Chagadema wanalia! Kwa hiyo Mkuu tuache tuone Chopa zinavyoruka then wanavyoondoka na maumivu usiku usiku bila kuaga kama akina Wenje walivyoulaza.

haya kaka tuwaache waje
 
Mkuu unawashauri vibaya hawa waungwana waache waje maana hata vipigo weshazoea sisi tunaendelea kuwashughulikia hadi tupate nao mtoto ni lazima watuzalie hawa hawana ujanja watakwepaa lakini mkong'oto uendelee kwa mwanaccm yeyote ni lazima afurahi akiona Chagadema wanalia! Kwa hiyo Mkuu tuache tuone Chopa zinavyoruka then wanavyoondoka na maumivu usiku usiku bila kuaga kama akina Wenje walivyoulaza.

Wenje mwenyewe kule Mwanza hawana hamu nae! Na uchaguzi ukiitishwa sasa hivi hana chake tena!
 
Wenje mwenyewe kule Mwanza hawana hamu nae! Na uchaguzi ukiitishwa sasa hivi hana chake tena!

Hata sisi huku Arumeru, huyo Nasari asilete ngwarangwara zake tena huku.

Hakika tunajuta sana kumchagua, hakuna lolote lile analofanya kwa maendeleo ya wanaarumeru.

CCM oyeeee
 
Hata sisi huku Arumeru, huyo Nasari asilete ngwarangwara zake tena huku.

Hakika tunajuta sana kumchagua, hakuna lolote lile analofanya kwa maendeleo ya wanaarumeru.

CCM oyeeee

Hoyeeeeeee
 
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!
 
Chadema sikio la kufa halisikii dawa watapeleka mpaka matreni wenyewe mtaona.
 
Cdm hata hivyo haijaelekeza nguvu sana huko. Wao wako kwenye katiba
 
lazima 2katoe challange ww unachoshangaa nn wakat unajua cdm kinajitangaza nchin kote
 
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!

chama kinashiriki uchaguzi kinapokua na uhakika wa kushinda tu? nijuavyo ni fursa ya chama kujitangaza na kunadi sera zake. inawezekana kabisa matunda ya CDM kushiriki chaguzi hizi yasionekane sasa lakini wakawa wamejenga msingi imara miaka michache ijayo!
 
Wadau ninajiuliza na kuwauliza kuna haja gani? ya chadema kupeleka nguvu ya pesa chalinze?ili hali wanajua hawawezi kushinda? Hiyo pesa si iende matawini ila si ya kaskazini ili kujipanga! waachane na chalinze!
Hili ulilouliza limeishaulizwa mara nyingi, naomba mimi na wewe tuulize kama CCM inajua itashinda Chalinze kwa nini itumie Gharama kubwa kujitangaza si wangekaa tu wakasubiri siku ya uchaguzi wananchi wakapiga kura kuichagua?
 
Kwa utafiti nilioufanya katika mitaa na vijiji vya Chalinze,CHADEMA watavuna aibu itakayo wakatisha tamaa mbaya,Ridhwani Kikwete ameonekana kukubalika Sana na kuungwa mkono na Rika zote,kijana anatajwa kuwa mwenye misimamo na asiyeyumba katika mahitaji ya Umma,

Suleiman Maneno anasema,Unakua kaka Ridhwani Ni kijana na nikuambie huyu anaonekana kukubalika kwa wapiga kura kuliko hata wsna ccm waliopita,

CHADEMA natoa tahadhari mapema,kuliko kupiteza raslimali,Kijana Kikwete Ridhwani atawaangusha vibaya Sana.

Nilitoa tahadhari hii kupitia kaka yangu Abdul Kazi juu ya kalenga mkanitukana,sasa tukaneni lakini Chalinze Ni pagumu kuliko kalenga.

Songa Ridhwani,
Wewe Ni Mzalendo na kijana mnyenyekevu.

Wstakao puuza waraka huu wasubiri matokeo.

hao wajamaa wana vichwa vya bata' hawasikii, waache waende tu wakajizike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom