Mi nawapongeza sana makamanda huko Segerea, ni mkakati mzuri mno huu...ni vema kujipanga na kuweka mikakati ya kuimarisha chama mapema hasa ktk ngazi za chini ili hatimaye 2014 tuzoe mitaa, vijiji na vitongoji vingi ili tujihakikishie ushindi murua kwenye uchaguzi mkuu 2015....... PEOPLES' POWER