Elections 2010 CHADEMA Jimbo la Bukoba haooo mpaka kwa msimamizi

Kaa la Moto

JF-Expert Member
Apr 24, 2008
7,903
1,053
IMGP8243.jpg IMGP8244.jpg IMGP8234.jpg IMGP8230.jpg IMGP8228.jpg IMGP8224.jpg

Jamani kuna mahali nimekuta picha hizi. Chadema jimbo la Bukoba mjini walipokuwa wakiwakilisha form kwa msimamizi wa uchaguzi. KAZI IMEANZA.
 
Huyu jamaa hakubaliki au ndo ule mtindo wa ndiyo mzee utashinda tu!? Jamaa anaonekana kuwa na wakati mgumu! lakini sera ndo inabidi azimwage kama hajipendi vile. Inapige apige domo haswaaaaa!
 
CHADEMA haiwezi shinda jimbo la bukoba mjini, Hamuwajui wahaya nyie, hawapendi watu vigeugeu kama Lwakatale

Huna hakika na unalosema maana mwisho utakuja shangaa mwenyewe.
Kwani unajua historia wewe? Nyie mdanganyeni Hamis tu mwisho mtabaki kushangaa kama mlivyoshangaa ya wengine yalipotokea! Nani alijua Kamala na makapi mengine ya sisi M Kagera yangekwenda na maji? Huyu jamaa aliyepo hana nafasi kwa taarifa yenu mwisho wake ni October anawafuata wenzie waliokwisha kutangulia.
 
Huyu jamaa hakubaliki au ndo ule mtindo wa ndiyo mzee utashinda tu!? Jamaa anaonekana kuwa na wakati mgumu! lakini sera ndo inabidi azimwage kama hajipendi vile. Inapige apige domo haswaaaaa!

Sikia ushindi wake utakuwa 70% pale Bukoba. Take it from me. Na hapo ndipo utajua kumbe alikuwa anakubalika.
 
I dont think so Hamisi S.Kagasheki is the man of the people.Ushindani utakuwa mkali lakini at the end of the day Hamisi ataibuka mshindi.
 
Sblandes na wengine, jueni hili; Kagasheki hajawahi shinda kwa kura! Na jimbo la Bk mjini halijawahi kukabidhiwa kwa upinzani labda pale mgombea anapokuwa hana mahusiano/maelewano mazuri na chama (M) na manispaa. Ktk mazingira ya sasa Rwakatare ana advantage ya mazingira ndani ya chama na mahusiano mabovu ya Mbunge na Manispaa.
 
CHADEMA haiwezi shinda jimbo la bukoba mjini, Hamuwajui wahaya nyie, hawapendi watu vigeugeu kama Lwakatale

Inaonekana we ndo huwajui wahaya! Na kwa taarifa yako WL anakulika na hao wahaya ndo walimwambia ahamie CHADEMA baadaya wao kugundua ndo chama chenye mwelekeo +ve.
 
Sblandes na wengine, jueni hili; Kagasheki hajawahi shinda kwa kura! Na jimbo la Bk mjini halijawahi kukabidhiwa kwa upinzani labda pale mgombea anapokuwa hana mahusiano/maelewano mazuri na chama (M) na manispaa. Ktk mazingira ya sasa Rwakatare ana advantage ya mazingira ndani ya chama na mahusiano mabovu ya Mbunge na Manispaa.
Omutwale,
Watu wengine wamekaa kwenye key board zao wanadanganyana.
Ni kweli Hamis si rahisi kushinda bila rushwa. Safari hii mambo yatakwenda vigumu kwake maana kwanza kajaa dharau kwa wadau wa chama chake.
Alimuhonga mtu mchana kweupe ili asirudishe fomu aonekane kapita bila kupingwa. Hiyo alifanikiwa maana sisi M wamejaa huko mijitu yenye tamaa kwani haina kazi ila kupiga bao mbunge wao.
Lakini wembe wa safari hii utakuwa mkali kama nini maana umenolewa na makali yake yatamgusa mpaka JK mwenyewe.
Kuwahakikishia tu nawaonyesha jeshi kubwa lililo nyuma ya Lwakatare na Dr Slaa katika jimbo la Bukoba mjini tu! Wambie sisi m wakuonyeshe mtaji wao kama wanao. Hamna kitu.
DSC_2275.jpg


angalia na hii imepigwa upande mwingine

DSC_2276.jpg

Kwa uchungu zaidi angalia na hii

DSC_2280.jpg

Ngoja nikuonyeshe na hii
DSC_2371.jpg

Kwa taarifa yako yote haya yametukia mwezi huu tu wa nane. Hatujaanza kampeni kuwaeleza kwa vielelezo wadanganyika jinsi walivyoishi maisha ya kutapeliwa kwa miaka 5 tu iliyopita.
Eti mtaji wa mgombea wenu sisi m ni kucheka kwenye picha! Loh!
 
Back
Top Bottom