Hivi unajua ulichoandika au ni chuki binafsi zakusumbua?Au unafikiri kwa kutumia makalio au ndio yale ya kichwa cha samaki??Idd Amin na Hitler walikuwa wapinzani au watawala???Kama chadema kimejaa damu kwa nn chama tawala kimeshindwa kuwatia hatiani????Uzinzi,wizi,majungu hayo ni maisha ya chama cha mizigo.Nyonyonyo~nyonyonyo~nyonyonyo!Mwee!!!.
Inauma sana hasa unapopenda ambapo wengine wanapaona pabaya
kuna mpaka mababa madikteta, kuwa dikteta sio lazima chama kiwe tawala
wewe huwezi kumshauri mbowe lolote la maana akakuelewa, huwezi kumshauri slaa. uwezo wako na mwisho wako ni kupinga ukweli wa upepo........hauzuiliki
chadema ni genge la wahuni wachache wanaitumia fursa ya CCM kuchukiwa na kujipatia hela.PERIOD