Chadema isitie aibu mrithi wa Regia!

Chadema isitie aibu mrithi wa Regia!

Wengi bado tuna kumbukumbu nzuri ya kilichotokea katika mchakato wa kuwapata wawakilishi wa viti maalum vya kina mama na vijana ndani ya CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu uliopita, ilikua aibu tupu.Waumini wa demokrasia tusingependa kuona chadema inatia tena aibu kwenye mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mpiganaji Regia Mtema.

Tunajua yapo majina tayari ya wanaopaswa kuchukua nafasi hiyo kule tume ya uchaguzi kwa mujibu wa taratibu,hivyo basi tunaomba haki itendeke ndani ya chama hasa tukijiamisha ya kwamba chadema kama jina lake lilivyo ni chama cha kidemokrasia zaidi kuliko kisultani.

Nafasi hii itapendeza ikienda kwa mtoto wa mkulima kama alivyokuwa marehemu,sio lazima iende tena kwa watoto ama "wake" wa vigogo ndani ya chadema.Tunasema hivi kwa kuwa kuna dalili za kamchezo hako kuweko sana chadema na tumeshasikia tetesi kuna wake wa wakubwa huko wanaotajwa tajwa kumrithi marehemu na pia upo ushahidi uliozaa manung'uniko ya kuwepo kwa upendeleo wa ndugu na watoto wa vizito "kupewa" nafasi,mfano wapo watu sio wengi wanaolalamika na kudai watoto ama ndugu wa vigogo mfano ndesamburo,zitto n.k.

Walipendelewa kupata nafasi hizo kutokana na majina ya wakubwa hao..hili lisirudiwe kumrithi Regia.

wewe ni kimeo wa kufikiri
 
Mambo mengine ni ya kisheria ndo maana tunataka katiba mpya. Tume ya uchaguzi wana majina ambayo chama kilishayapeleka na inapotokea mtu anafariki anachukuliwa anayefuatia kwenye orodha. Tushiriki kuunda katiba mpya ili kuyaondoa haya. Hapa hata kama ni CCM ama cdm ni utaratibu huo kumbuka alivofariki Amina CHIFUPA CCM alipatiwa anayefuata japo vijana wengi walitaka angetafutwa wa kufanana naye.

itakuwa ni mistake kubwa kwa chadema kuiachia NEC iwachagulie mbunge kwa sababu mbili.

1. uchaguzi wa mwaka 2010 ulishakwisha hivyo huwezi kutumia matokeo ya uchaguzi uliokwisha kama vile ambavyo
huwezi kutumia matokeo ya ucahguzi wa arumeru mashariki kuipa chadema kiti cha ubunge utaitishwa uchaguzi
ili kila mtu apewe nafasi ya kugombea kwani hiyo demokrasia.

2. Regia Mtema alikuwa ni mbunge wa morogoro hatuna uhakika huyo aliye kwenye listi anatokea kama anatokea morogoro
itakuwa vyema lakini kama hatoki morogoro na hasa kilombero itakuwa ni kuwatupa watu wa kilombero waliokipa chama
cha chadema kura nyingi sana mwaka 2010. kwahiyo naomba musiwaangushe watu wa kilomebero warudishieni heshima
yao watu kilombero na ninammni mwaka 2015 watairudisha heshima hiyo kwenu.
 
Kumbukumbu ipi hv we unajua mizengwe ambayo hutumika na CCM kupata hawa wabunge wa viti maalumu? Chadma ni chama ambacho kwa hilo walijitahidi sema watu tumejaa hila kwani kama mtu ni ndugu na viongozi wa chadema hawaruhusiwi kuwa wabunge? mbona hauhoji mtu kama zainabu Kawawa ambaye najua yeye alifight hakubebwa, haya kina Ana Abdalah na wengine wengi tu. Chadema walitumia mtaalamu mshauri bwana Kitila Mkumbo na waliweka vigezo baadhi ya akina mama walidhani ukiwa kiongozi wa juumuiya basi inakuwa first priority ndo maana mkti wa wanawake chadema alihama kwa kuwa alikosa sifa hizo na akatoka na shutuma nzito.

CHADEMA walichofanya cha kwanza ni kuwa akina mama wote waliogombea ndo walipewa first priority kwa kwanza kuthubutu kuingia kwenye mapambano jukwaa na ndo kilichompatia pia na Marehemu Regia Ubunge. ni ile nguvu na uthubutu wake wa kujitokeza kugombea ndo maana wanawake nadhani wote waliogombea ubunge kwa chadema walipokosa wamepewa viti maalumu. Hata Mdee angekosa angepewa maana walishaonyesha ile sense ya leadership kumbuka Rose Kamili ambaye alihama CCM akiwa diwani na akagombea matokeo yalikuwa na utata nadhani Mh Nagu alitangazwa na tume. Hivyo tuache upashkuna na tena wewe thread nyingi ni za kimalaria sugu nashangaa unapojifanya unawahurumia chadema. Mimi si cdm lkn ni mfuatiliaji

Wengi bado tuna kumbukumbu nzuri ya kilichotokea katika mchakato wa kuwapata wawakilishi wa viti maalum vya kina mama na vijana ndani ya CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu uliopita, ilikua aibu tupu.Waumini wa demokrasia tusingependa kuona chadema inatia tena aibu kwenye mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mpiganaji Regia Mtema.

Tunajua yapo majina tayari ya wanaopaswa kuchukua nafasi hiyo kule tume ya uchaguzi kwa mujibu wa taratibu,hivyo basi tunaomba haki itendeke ndani ya chama hasa tukijiamisha ya kwamba chadema kama jina lake lilivyo ni chama cha kidemokrasia zaidi kuliko kisultani.

Nafasi hii itapendeza ikienda kwa mtoto wa mkulima kama alivyokuwa marehemu,sio lazima iende tena kwa watoto ama "wake" wa vigogo ndani ya chadema.Tunasema hivi kwa kuwa kuna dalili za kamchezo hako kuweko sana chadema na tumeshasikia tetesi kuna wake wa wakubwa huko wanaotajwa tajwa kumrithi marehemu na pia upo ushahidi uliozaa manung'uniko ya kuwepo kwa upendeleo wa ndugu na watoto wa vizito "kupewa" nafasi,mfano wapo watu sio wengi wanaolalamika na kudai watoto ama ndugu wa vigogo mfano ndesamburo,zitto n.k.

Walipendelewa kupata nafasi hizo kutokana na majina ya wakubwa hao..hili lisirudiwe kumrithi Regia.
 
Hilo ndo tatizo la kutojua taratibu na kanuni zinazozingatiwa katika hoja unayoijadili,Ktk mchakato wa kumpata mrithi wa Regia kwa sasa Chadema hawana maamuzi mapya tena isipokuwa Tume humtangaza kuwa mbunge wa kurithi mtu anayefuatia katika orodha ilokwishawasilishwa awali kutoka pale walipokomea kutokana na idadi ya viti vya CHADEMA.

Ktk uchaguzi mkuu uliopita, isipokuwa ikiwa mtu huyo anyefuatia amekoma uanachama,amefariki au amepoteza sifa zinazomfanya aendelee kuwa mwanachama,watateua anayefuatia tena kutoka orodha ileile ya awali na ikiwa hana pingamizi lolote la chama lihusulo uanachama wake ndiye atakayetangazwa na tume.ACHA UMBEYA WAKO,UMEJAA HILA TUPU KAMA NYOKA,

Nahisi na kuamini hili jibu linamtosha tu.
 
CHADEMA ni chama makini chenye misingi imara. Itafuata katiba yake na mambo yatakuwa sawa.
 
Wengi bado tuna kumbukumbu nzuri ya kilichotokea katika mchakato wa kuwapata wawakilishi wa viti maalum vya kina mama na vijana ndani ya CHADEMA wakati wa uchaguzi mkuu uliopita, ilikua aibu tupu.Waumini wa demokrasia tusingependa kuona chadema inatia tena aibu kwenye mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mpiganaji Regia Mtema.

Tunajua yapo majina tayari ya wanaopaswa kuchukua nafasi hiyo kule tume ya uchaguzi kwa mujibu wa taratibu,hivyo basi tunaomba haki itendeke ndani ya chama hasa tukijiamisha ya kwamba chadema kama jina lake lilivyo ni chama cha kidemokrasia zaidi kuliko kisultani.

Nafasi hii itapendeza ikienda kwa mtoto wa mkulima kama alivyokuwa marehemu,sio lazima iende tena kwa watoto ama "wake" wa vigogo ndani ya chadema.Tunasema hivi kwa kuwa kuna dalili za kamchezo hako kuweko sana chadema na tumeshasikia tetesi kuna wake wa wakubwa huko wanaotajwa tajwa kumrithi marehemu na pia upo ushahidi uliozaa manung'uniko ya kuwepo kwa upendeleo wa ndugu na watoto wa vizito "kupewa" nafasi,mfano wapo watu sio wengi wanaolalamika na kudai watoto ama ndugu wa vigogo mfano ndesamburo,zitto n.k.

Walipendelewa kupata nafasi hizo kutokana na majina ya wakubwa hao..hili lisirudiwe kumrithi Regia.
Chadema haiko kama unavyofikiria.
Mawazo yako ni kama ya yule mother wa Bawacha alijengue-Mama Mosore.
CDM inawatu makini sana, kabla hujalisemea hapa washalijadili.
Mchakato uko wazi, wasi wasi wa nini?
Tulia subiri maamuzi ya fikra pevu
 
Tuantoa tahadhari kabla ya hatari ili kama kuna mchezo wahusika wanataka kuucheza wajue watu tuko macho,hiyo ya kututaka tusubiri mpaka maji yafike shingoni ndio tujue kumbe tunazama haisadii sana.

Tatizo lako hujui Kanuni na taratibu kuhusu Uteuzi wa wabunge wa viti maalumu especially pale mmoja anapoacha au kufariki Dunia, kwa msaada Rejea Uteuzi wa mama wakatare baada ya kifo cha amina chifupa.
 
Tayari anaemfuata Regia ni diwani wa Karatu kwa Mujibu wa Tume,hayo hayapo ndani ya Uwezo wa Chadema tena ni tume baada ya Chama kupeleka majina zamaani kwa Mpangilio

Na watu lazima wakumbuke kwamba sheria ni msumeno.Hakuna swala la upendeleo katika hatua hii maana mpangilio wa majina upo na ulishajulikana. Tusubiri kutangaziwa jina tu .Tuombe tu awe mpiganaji kama Marehemu REGIA(RIP)
 
Lazima kuwakumbushe nao ni binadamu,upo udhaifu wa kibinadamu,ndio tunakumbushana kilichotokea kwenye mchakato wa viti maalum ndani ya chadema kwenye uchaguzi mkuu,kila mkubwa alijaribu kuhakikisha mtu mwenye mahusiano nae anapta nafasi.Hayo mambo lazima yazungumzwe kwani yapo,ni kama hili suala la kumrithi Jemeriah sumari tunavyolizungumzwa even kabla ya hajazikwa,ni kwao tupende tusiprnde tutakua nalo!

Ndiyo tatizo la kushiriksha masaburi katika kutoa hoja. Bosi wako washamlambisha sumu huko Mwanza, sijui nani atakuwa anawapa posho za kuleta upupu hapa jamvini.
 
wengi bado tuna kumbukumbu nzuri ya kilichotokea katika mchakato wa kuwapata wawakilishi wa viti maalum vya kina mama na vijana ndani ya chadema wakati wa uchaguzi mkuu uliopita, ilikua aibu tupu.waumini wa demokrasia tusingependa kuona chadema inatia tena aibu kwenye mchakato wa kujaza nafasi iliyoachwa wazi na mpiganaji regia mtema.

Tunajua yapo majina tayari ya wanaopaswa kuchukua nafasi hiyo kule tume ya uchaguzi kwa mujibu wa taratibu,hivyo basi tunaomba haki itendeke ndani ya chama hasa tukijiamisha ya kwamba chadema kama jina lake lilivyo ni chama cha kidemokrasia zaidi kuliko kisultani.

Nafasi hii itapendeza ikienda kwa mtoto wa mkulima kama alivyokuwa marehemu,sio lazima iende tena kwa watoto ama "wake" wa vigogo ndani ya chadema.tunasema hivi kwa kuwa kuna dalili za kamchezo hako kuweko sana chadema na tumeshasikia tetesi kuna wake wa wakubwa huko wanaotajwa tajwa kumrithi marehemu na pia upo ushahidi uliozaa manung'uniko ya kuwepo kwa upendeleo wa ndugu na watoto wa vizito "kupewa" nafasi,mfano wapo watu sio wengi wanaolalamika na kudai watoto ama ndugu wa vigogo mfano ndesamburo,zitto n.k.

Walipendelewa kupata nafasi hizo kutokana na majina ya wakubwa hao..hili lisirudiwe kumrithi regia.

kwa maoni yangu, ningependa atakayeteuliwa atoke kule ambako cdm hawana nguvu za kutosha ili huyo mtu atumike kama njia ya kuwavua wanachama na wapenzi wa mageuzi huko pembezoni mwa nchi au hata katikati kama tabora au dodoma, tanga, lindi, pwani iringa nk
 
Bado tuko kwenye majonzi nadhani kwasasa hili halituhusu!

biashara ni asubuhi, mahesabu baadae. linatuhusu na tusipojenga msingi wa kukijenga chama, watatuharibia hawa viongozi. Human being are selfish in nature
 
Kwahiyo akiteuliwa mtoto wa mkulima ndio haki itakuwa imetendeka ila kinyume na hapo haki itakuwa haijatendeka....... Think loud !!. Naamini kuna vigezo therefore tubase kwenye hivyo vigezo bila kuangalia nani atakuwa ameteuliwa vinginevyo tunawashauri waongeze kipengele cha umasikini katika uteuzi....
 
Gud idea! But mi nadhani ktk kujaza nafas ya dada ye2 RIP mtema, ni vyema kusiwe na upendeleo wowote wa kimahusiano bali inabid achaguliwe m2 mpiganaji na makini lakin asiwe kigeugeu na m2 huyo hatakama atakuwa ni mtoto wa mbowe lakini kinachomata ni uwezo wa m2 ktk maswala ya siasa na si kingine. So hata kama ana undugu na zitto ts oryt.
 
Back
Top Bottom