Chadema ipo kazini kuliko ujuavyo

Chadema ipo kazini kuliko ujuavyo

Acheni ujinga nyie wafuasi wa ZITTO. VYAMA VYOTE VILIVYOJENGWA NA UMAARUFU WA MTU HUFA KABLA YA WAKATI. BILA ZITTO ACT HAINA WATU. WALIOPO MKUTANONI NI WANASISIEMU WANAOPIMA MPANGO WA KUUA CHADEMA UTAFANIKIWA WAONGOZE HELA ZA KUFADHILI ACT? KUNDI JINGINE NI LA WANACHADEMA WANAOFUATILIA WAJUE MATUSI YA ZITTO.
Ndo uwezo wako wa kujenga hoja ulikoishia,Typical Bavicha
 
Acha kudanganyia na akina Rozi mhando.. ACT INABEBWA NA DINI, KABILA NA KANDA YA KIONGOZI MKUU.
PEMBENI KUNA UFADHILI WA CCM.
 
nasubiri octobar wakati ccm itakapokuwa na watu wake sasa sijui zzk atawatowa wapi
 
huku watu wanasubiri BVR kwa hamu kubwa. sijajuwa ccm wanaogopa nini mpaka sasa
 
ACT wanasambaza uzalendo nyinyi mnasambaza majungu. kila la heri/shari

Anayepanga kuivuruga CHADEMA kwa sasa amechelewa. Huwezi kuua CHADEMA kwa siku 120. . Nguvu ya mtu mmoja kupambana na maelfu ya watu ni kupoteza muda.
Vyama vyote vilivyojengwa juu ya umaarufu wa mtu mmoja viko ukingoni:
1. DP ~ MTIKILA(HAKINA HATA MBUNGE);
2. UDP ~ CHEYO (NI MBUNGE WA MWISHO);
3. NCCR ~ MREMA ALIPOONDOKA KIMEPONA;
4. TLP ~ MREMA NI MBUNGE WA MWISHO;
5. ADC ~ HAMAD RASHID ANAONGOZA AKIWA CUF - HAKINA MATUMAINI.
6. ACT ~ TANZANIA - LIMBU BADO ANAKIPIGANIA.
7. ACT - WAZALENDO ~ ZITTO ni chama na chama ni zitto. Bila yeye hata mkutano mmoja hauendi. Bado kinapigania uhalali kwa msajili kupitia mlango wa nyuma.
 
mkuu stata mzuka siasa si kama tamasha la pasaka , kwamba rose muhando akimaliza kuimba ndio basi , siasa ni mikakati endelevu , siasa ni basement , mahali ilipofika cdm hakuna msaliti atakanyaga .
mwaka huu lazima muisome, chadema tumekaba.hakuna kulala mpaka kieleweke
 
1429479976666.jpg Napita tu
 
Kijana,umati siyo kukubalika,hebu tuambie tangu zito ameanza mikutano yake ni wanachama wangapi wamechukua kafi za act?jibu ni hakuna,ndipo ujue wananchi wanamchora tu hata mimi akija kwetu nitaenda kumsikiliza,hicho chama kinakufa hizo pesa zikiisha.

Ina maana mkuu hao watu wote wamefuata Pesa au siku hizi Zitto ana gawa hela? We hamkumbuki Wananchi walikua wanakuja kushangaa helkopta yenu kipindi kile afu mkasema mnajaza watu.
 
Anayepanga kuivuruga CHADEMA kwa sasa amechelewa. Huwezi kuua CHADEMA kwa siku 120. . Nguvu ya mtu mmoja kupambana na maelfu ya watu ni kupoteza muda.
Vyama vyote vilivyojengwa juu ya umaarufu wa mtu mmoja viko ukingoni:
1. DP ~ MTIKILA(HAKINA HATA MBUNGE);
2. UDP ~ CHEYO (NI MBUNGE WA MWISHO);
3. NCCR ~ MREMA ALIPOONDOKA KIMEPONA;
4. TLP ~ MREMA NI MBUNGE WA MWISHO;
5. ADC ~ HAMAD RASHID ANAONGOZA AKIWA CUF - HAKINA MATUMAINI.
6. ACT ~ TANZANIA - LIMBU BADO ANAKIPIGANIA.
7. ACT - WAZALENDO ~ ZITTO ni chama na chama ni zitto. Bila yeye hata mkutano mmoja hauendi. Bado kinapigania uhalali kwa msajili kupitia mlango wa nyuma.

Hili darasa ulilotoa sijui kama wale nzi(wafuasi wa Zitto) wanaomfuata kila anakoenda watakuelewa hasa Dickson Ng'hily, Zitto aliwahi kuwaambia fuateni misingi msifuate mtu sijui hawakumuelewa ? Zitto sasa ni kama kinyesi kwenye siasa za bongo si ajabu kukuta nzi wamezingira kinyesi.
 
Last edited by a moderator:
mkuu stata mzuka siasa si kama tamasha la pasaka , kwamba rose muhando akimaliza kuimba ndio basi , siasa ni mikakati endelevu , siasa ni basement , mahali ilipofika cdm hakuna msaliti atakanyaga .

Wanaota kuiua cdm kwa one man show fiesta, hiki ni kituko
 
Ni mwendawazimu tu ndio bado anaimani na ccm au mawakala wake lakini kila aliyejitambua yuko Chadema na kwa sasa UKAWA wasioamini wasubiri waone moto wake.
 
Back
Top Bottom