Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,158
CHADEMA wakiona huu umati roho zinawauma sana, kijana kweli ndio alikua anakubalika kwenye ile Saccoss hebu angalia hili nyomi ujiulize chama hakina hata miezi.
View attachment 244955
View attachment 244956
View attachment 244957
mkuu stata mzuka siasa si kama tamasha la pasaka , kwamba rose muhando akimaliza kuimba ndio basi , siasa ni mikakati endelevu , siasa ni basement , mahali ilipofika cdm hakuna msaliti atakanyaga .