hexacyanoferrate
JF-Expert Member
- May 15, 2014
- 1,232
- 792
CHADEMA wakiona huu umati roho zinawauma sana, kijana kweli ndio alikua anakubalika kwenye ile Saccoss hebu angalia hili nyomi ujiulize chama hakina hata miezi.
View attachment 244955
View attachment 244956
View attachment 244957
Kijana,umati siyo kukubalika,hebu tuambie tangu zito ameanza mikutano yake ni wanachama wangapi wamechukua kafi za act?jibu ni hakuna,ndipo ujue wananchi wanamchora tu hata mimi akija kwetu nitaenda kumsikiliza,hicho chama kinakufa hizo pesa zikiisha.