BUBU MUONGEAJI
Member
- May 15, 2013
- 44
- 8
Serikali tatu si tu gharama bali pia ni ufukara wa mawazo ya kutatua matatizo yetu.serikali mbili pia si nzuri, zanzibar inaweza kutokuwa na rais na ikawa na mamlaka kisheria ya kuendesha mambo yake chini ya mamlaka fulan