Jimmy Kadebedebe
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 468
- 191
Hii imedhihika wazi vyuo vikuu vya Iringa katika chaguzi za vyuo hivyo ikiwemo RUCO, MKWAWA na TUMAIN ambapo kuna kamtindo ka wagombea kutoka vyama tofauti kuitana katika vikao njeo ya chuo na kukubaliana nan achukue fomu.Hivyo CCM imeonekana kuchukiwa na kukosa nafasi vyuo vyote na nafasi zmechukuliwa na wanachama pure from CHADEMA.
Wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!
Wakat wa kampeni ilijidhihirisha waz vyuon humo ikifika wakati wa mgombea ambaye ni gamba watu wanaimba gamba gamba gamba,.hivyo anaishia kutukanwa tu, dah!! CCM inatia huruma jns wasomi wanavyokichukia hiki chama.Peopleeeeeees!!!