Pumbafu kabisa hizi Takwimu umezitoa wapi?
Naona umechanganywa na ziara ya Obama kama Mwenyekiti wako Mbowe.
Alisahau kuwa wametoa msimamo wa kutoshiriki, kesho yake akajikuta Ikulu.
Hivi nyie Magaidi ni nani ALIYEWAROGA?
kwa ufupi hivi sasa chadema inapendwa karibia tanzania nzima, labda tu kwa sehemu na mikoa isiyo na maendeleo ndo ccm imejikita. ccm ni ya WAJINGA NA WAPUMBAVU, bali chadema ni kwa wazalendo wapenda maendeleo ya nchi hii.
Nimepita maeneo ya nyororo,,,mafinga,,rungemba,,, hadi migoli huko iringa vijijini,gumzo ni chadem; pamoj na TISS haswa mwigulu kutumia nguvu za ziada kuupinga ukweli;
Huu uzushi wendawazimu kama nyie ndiyo mtauamini. Endeleeni kujifariji tu humu jf wapiga kura kitaa hata hawana shida wanasubiri uchaguzi wakaipe kura ccm.
inapendwa lushoto kwani mbunge wa hapo nani ni ccm au chadema diwani je fikiri ukipata jibu la chama cha mbunge na diwani pamoja na wajumbe ndio kinachopendwa acha kutuongopea wewe
Huu uzushi wendawazimu kama nyie ndiyo mtauamini. Endeleeni kujifariji tu humu jf wapiga kura kitaa hata hawana shida wanasubiri uchaguzi wakaipe kura ccm.
Jamani wana jf kuna kitu binafsi nashindwa kukielewa kuhusu chama cha chadema, chama hiki kila ninapo fika kina tajwa kwa mazuri na na robo tatu ya watz wanaamini kuwa ndicho chama pekee kinacho weza kuwakomboa, binafsi kwa kuwa ni mgeni ktk nchi hii naomba mnisaidie ukweli wa imani hii!
Pumbafu kabisa hizi Takwimu umezitoa wapi?
Naona umechanganywa na ziara ya Obama kama Mwenyekiti wako Mbowe.
Alisahau kuwa wametoa msimamo wa kutoshiriki, kesho yake akajikuta Ikulu.
Hivi nyie Magaidi ni nani ALIYEWAROGA?