sukari yao
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 140
- 23
Yani Nipo Mtwara CDM ni gumzo baada ya CUF kuolewa na ccm
CHADEMA Tuendeleze nguvu ya m4c kichwa kwa kichwa, ukombozi wa pili umewadia kwa mtanzania!
CHADEMA ndo mpango,naona magamba siku hizi kwetu nao wameshaanza kuona aibu ya kuvaa kijani/njano.
Jamani angalia CCM inawauma sana!!
wafe kabisa