CHADEMA inaendeshwa "kimagumashi"...

Kuna uhusiano gani ya topic na kauli yako kuwa CHADEMA wamezoea kubebwa na kupakatwa? Explain that if you can!

Mtoboasiri, usitokwe na povu mdomoni. Fuatilia vizuri uone kama kuna mahali nimeandika neno kubebwa au kupakatwa. Haya magumashi mbona mmezoea sana, yaani mpaka hapa unataka kuniingizia maneno mdomoni!!!
 
Mtoboasiri, usitokwe na povu mdomoni. Fuatilia vizuri uone kama kuna mahali nimeandika neno kubebwa au kupakatwa. Haya magumashi mbona mmezoea sana, yaani mpaka hapa unataka kuniingizia maneno mdomoni!!!

Sijawahi kutokwa na povu na sitokwi leo. Tatizo lenu mnaanzisha uzi halafu mnarudi kwa ID nyingine na kuji-support. Matokeo yake ndiyo hayo ya kujikuta ukijibu kwa ID tofauti.

Kama si wewe ulieandika hicho, ilikuwaje ukamjibia alieandika hivyo? Kwa sababu nilichokijibu hapa KIPO!
 
Haya yote ni matatizo ya njaa!! Kama isingekuwa njaa, watu wana kazi, wako busy wala kusingekuwepo na mtiririko wa mada za kipuuzi namna hii!!

Inakuwaje mtu uhoji ufunguzi wa matawi nje lakini HUHOJI kuhusu chama kuwa na katibu mwenezi HASIE NA KADI YA CHAMA!!?
 
​mbowe chadema ataicha akiondoka lakini ccm inaondoka na kikwete
 
Hoja wajumbe, hoooooja...
Matawi yanafunguliwa kwa utaratibu gani?
 
mwisho wa siku Rais lzima ATOKE TZ. sotuwaache tuone. kama vipi hta SAU na NRA nitawapigia kura nyie tapeni tu acheni kujenga hoja na sera nzuri za vyama kaeni mkikosoana kila iitwapo leo.

siku hizi wataanznia wameamka sana hawaangalii msemaji wala mkosoaji sana bali nani mwenye sera nzuri na wanaye mtaka. tena kwa hali livyo ccm na cdm mnaweza msirudi wala msishike madaraka ktk nchi hii kwa maneno yenu ya kipuuzi.
 

Asante sana kwa maneno ya busara...
 
Hizo sera Nzuri za CCM zimetufikisha wapi kwa miaka 50 tunataka wachapakazi na waaminifu acha longolongo za kimagamba
 
ZeMarcopolo

kuna mtu alisema, akili za darasani na za maisha ni tofauti........ mkuu huna upeo hata wa basic knowledge!!! huna wisdom wala uwezo wa analysis ya chochote zaidi ya kuhangaika kutafuta kofia ya ccm. vyama vya siasa vya nchi haviwezi kutofautiana mno kwani political system na context ni ileile... labda pia uangalie kinachoendelea kwa both parties aborad, their approach towards establishment/revitalizing their matawis etc.

hebu fuatilia genesis ya chadema ujue michango ya akina balali na wasomi wengine na walianzia wapi

maybe hujui maana ya magumashi.... na labda ungerejea vita ya siasa kwenye vyuo na ujiangalie wewe ungechambuaje

hizi skolashipu za kindugu zinatufanya kuwa kama prostitutes waliopewa vocha za kuingia free kambi za jeshi!!!
 
Last edited by a moderator:
Hizo sera Nzuri za CCM zimetufikisha wapi kwa miaka 50 tunataka wachapakazi na waaminifu acha longolongo za kimagamba

nitake radhi mkuu sjawah kuwa ccm wala cdm na siyo shabiki wa mipasho yenu kama waimba taarabu siku hizi tumeamka kiakili hatuangalii eti chama cha nyerere wala chama cha wasema sana tunataka sera. ndio maana nasema hata SAU na NRA nitawapigia kura. ninyi mmekuwa mnaboa sana kila siku lazima mje na vijembe badala ya kunadi sera na kufanya kwa vitendo yale ambayo tunayataka.

kama siyo mchapa kazi hata iweje hatukupi kura uwe unatoka cdm ama ccm and 2015 you will leave to see manake ni bora hata amgombea binafsi akasimama anaweza kuwa muwajibikajiaa mzuri tofauti na hawa wenye wafuasi.
 
Haya CHADEMA, sasa mmeshajua kosa mlilolifanya. Kaeni chini muifanyie marekebisho katiba ili hayo matawi yatambulike.
Msitetee makosa, haitawasaidia na wananchi watakasirishwa na "magumashi".
Mbowe, baada ya operation sangara ya Morogoro itisha kikao cha dharura cha marekebisho ya katiba ili aibu hii isiendelee kuwepo.
 
tukubali tukatae, hapo kuna hoja ya kujibiwa japokuwa mtoa mada kaja kishabik sana.
 

Haya ni nyeti zaidi kwa CCM kuliko ya CDM kufungua matawi nje ya nchi kikatiba au kwa kutofuata katiba.

Kama ni umagumashi huu ni zaidi.
 
Sssa rafiki yangu cdm hawawezi kufanya mambo kwa kuiga wanayofanya magamba,nikuulize swali je unaweza ukanipa kifungu chochote ndani ya katiba ya nyinyiem kinachosema mtu akituhumiwa kwa ufisadi anavuliwa gamba ndani ya siku 90? Jambo lolote lenye heri na maendeleo kwa chama kama halijawekwa kwenye katiba likifanywa na mwanachama linachukuliwa kama changamoto yenye faida kwa chama.kilichofanywa na zitto na baadae lema ni changamoto chanya kwa chama na sio magumashi unayouyataja hapo.Zaidi wape hai woooooote hapo jengo la rumumba.
 
Ccm wameshawahi kupewa magari ya kuendeshea mikutano kama chadema tumepewa kuwaelimisha watanzanie walitekwa kwa miaka 50 mikononi mwa majambazi M4C inasambaa nchi nzima ccm inakufa vibaya sana !
 


Kwani CCM haina Uwalakini? Too Much expectations and criticizer at the same time of CHADEMA...

Waacheni Wana Mipango yao na Wamehakikisha kuwa WIZI kama wa CCM wa MCHANA ndio MWISHO...

Kwanini Unahangaika na Matatizo ya CHADEMA; wakati ya CCM ni Makubwa? Mfano Mdogo ni Sophia Simba na

Mama Kilango... Huo ni Mdogo tu... Wewe sijui source zako ni zipi kuhusu LEMA na ZITTO...

Haukumbuki...:sleepy: Tawi la CCM DC Kikwete alipokwenda walipachikana tu... Mh. Balozi aliyajua hayo... Wanachama

Hawakujua chochote... Angalia CHAMA CHAKO KWANZA kina RUTBA NYINGI TU....
 
a spin doctor at work! keep twisting the truth." If fools went not to market , bad wares would not be sold"
 
wakati tunaenda mwishoni mwa chaguzi za msingi,ghafla tunapata taarifa kwamba chaguzi hizo zimesitishwa na sasa zitafanyika tu chaguzi za matawi ambazo zitasimamiwa na makao makuu kinyume na katiba ya chama.

Inavyoonekana chama kinashindwa kuwaamini watu wa mikoa,wilaya na majimbo na kutaka wao kama viongozi wa makao makuu wafanye wenyewe kila kitu hata ktk ngazi za chini kabisa, kwa hali hii program nyingine za chama kitaifa zinaweza kukwama kutokana na makao makuu kuwa waroho wa kukumbatia majukumu ambayo hata ktk katiba yamegawanywa.

Wakati huo huo wamesimamisha ruzuku kwa muda wa miezi sita,hii ina maana shughuli za uenezi wa chama nchi nzima zitafanywa na makao makuu pekee,kwa hali hii tuna dhamira ya kweli kuchukua nchi au tunapanga programu ili viongozi wa kitaifa wanufaike na ruzuku? Wanajifanya ma star wa kihindi kila kitu wanajua wao.

Naomba doctor slaa aje atolee maelezo swala hili kama ana dhamira safi na chama.

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…