Mnajulikana kwa kutukana,ndio maana post 4 tu matusi tele.
We nani atakutafutia maisha kama hujitumi mwenyewe,we umeona wapi nchi inamfanyia mtu bila yeye mwenyewe kwanza kujitafutia maisha then ndio maendeleo ya nchi yapatikane kwake.
Au ndio kujidanganya kwamba kuna viongozi wataleta nchi ya mito ya maziwa na asali na nyie kushangilia,maana hata mtoto wa Nursery lazima atabisha ila inashangaza mtu mzima kushabikia uzuzu huu.