CHADEMA ina watu wana akili sana

CHADEMA ina watu wana akili sana

Kama unaoangalia kikao hiki cha Watia nia na Uongozi wa CHADEMA utakubaliana na mimi kuwa hiki chama sasa kimepevuka kustahili kupewa Uongozi wa nchi yetu.

Hiki Chama kimekomaa sana. Kina uwazi wa Demokrasia ya kiwango cha juu cha kutisha.

Kina Viongozi makini wanaoonesha wazi mapambano ya Hoja na kuonesha sayansi ya siasa ilivyo hasa.
Hahahahaaaaaa

Kweli kazi ipo
 
Hahahahaaaaaa

Kweli kazi ipo
Lazima uwakubali tu.

Wanavyoendesha mambo yao kisayansi na kidemokrasia tena kwa mijadala ya wazi na hoja za uhakika lazima uwakubali tu
 
Lazima uwakubali tu.

Wanavyoendesha mambo yao kisayansi na kidemokrasia tena kwa mijadala ya wazi na hoja za uhakika lazima uwakubali tu
Chakadomoz ilikua ile ya 2010 , 2005

Hii ya sasa ni chaka la ndumu aka chakandumuz
 
Back
Top Bottom