CHADEMA imemkosea nini huyu mwandishi?

You deserve my honor!!
 
Hii nadhani ni nje ya mada.. Ila kama ni kutangaza maslahi mimi ni SIMBA damu na ni CHADEMA kindakindaki
Na hapo ndiyo kwenye tatizo!

Nje ya mada;
Ningetamani kidogo utueleze pia kuwa zitto ameikossa nini chadema maana hakuna mwanachadema asiyemtaja zitto kiuhasi kila baada ya maneno mawili.
 
Una jicho la tatu... Lifungue vema likuoneshe ya mbeleni
Mimi huyo mwandishi nguli ambaye hakutajwa simjui, lakini katika kukadiria kwangu, kama mtu huyo hushiriki kwenye jukwaa hili la Siasa, JF; basi huyo ninayemjua mimi siwezi kamwe kumpa sifa ya "uandishi nguli."

Huyo tokea mwanzo kabisa kukutana naye hapa JF, na kusoma maandishi yake kadhaa nilihitimisha kuwa siyo mwandishi, ni kanjanja tu!
Kwa bahati mbaya sana ndani ya nchi yetu hii, nadhani tumeishiwa watu wenye upeo ambao tunaweza kuwatolea mifano ya sifa kama hizo ulizompa huyo mtu.
Mimi baada ya kumjua kuwa hana kitu kabisa, hasa baada ya kufahamu kuwa hana popote anaposimamia katika maandishi yake, nilimpa sifa ya kuwa "Popo"ambaye hana sifa za kuitwa mnyama moja kwa moja, ama kufahamika kuwa ni ndege.

Baada ya kumtambua hivyo, sikujishughulisha tena na kusoma mabandiko yake humu marefu, ambayo niliyapa sifa ya kuwa "magazeti".

Tofautisha. huyo si mwandishi. Mwanakijiji, pamoja na kukengeuka kwake, lakini anapopanga hoja zake, hata kama hukubaliani nazo unaona taaluma ya uandishi kutoka kwake. Huyu unayemleta hapa, makala zake hazina sifa za uandishi. Awe anasifu au anaponda, maandishi yake hayana vinasaba vya uandishi wa habari.

Na kuhusu mzee wa kirachacha, hiyo nayo ni habari nyingine kabisa. Mfano wa mwanasiasa asiyekuwa na 'bearing'. Sijawahi kumchukulia Mrema kuwa mwanasiasa wa kutolea mfano kwa wengine.
 
Uzuri ni kwamba HAKUNA WAKALA WA SHETANI ALIYEWAHI KUPAMBANA NA CHADEMA AKASHINDA , labda wakala huyu atakuwa wa kwanza .
Unatofautishaje wakala wa shetani na asiye wakala wa shetani miongoni mwa wapinzani wa chadema au kila mwenye upinzani na chadema ni wakala wa shetani?
 
Mkuu nadhani ujamwelewa vizuri mtoa mada, ebu fikiria unatambua kabisa Mji wa Abuja lipo Nigeria ila unawaambia watu kua lipo Namibia. He hiyo ndiyo demokrasia au upotoshaji? Tena baada ya masaa mchache unawambia watu mji wa Lagos lipo Mali na si Nigeria. Je unajua na tatizo binafsi na nchi Nigeria au ndiyo demokrasia yenyewe?
 
Unguli hana , namfahamu huyu mtu tangu Simba Grill Kilimanjaro Hotel , akiwa MC tu kwenye kipindi cha Kitimoto , hana lolote
 
Na hapo ndiyo kwenye tatizo!

Nje ya mada;
Ningetamani kidogo utueleze pia kuwa zitto ameikossa nini chadema maana hakuna mwanachadema asiyemtaja zitto kiuhasi kila baada ya maneno mawili.
Wakati Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo wanapanga mapinduzi haram ndani ya Chadema ulikuwa darasa la ngapi? Unawajui MMM?

Jeshini adhabu ya Zitto Kabwe na Kitila Mkumbo ni kifo tu hakuna mbadala.

Ona damu ya Usaliti huko ACT Kitila Mkumbo kamsaliti msaliti mwenzanke na kufuata ulaji CCM, huko nako 2025 atasomeshwa namba za kirumi na wenye chama chao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…