CHADEMA imekosa dira na mwelekeo

hugochavez

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
1,907
Reaction score
1,009
hiki chama kilijinasibu kuwa chama cha kupinga ufisadi. baada ya kukumbwa na tamaa kali na kiu ya pesa iliyopindukia kikakumbatia mafisadi akiwemo fisadi Lowassa. hivi sasa chama hicho kimekuwa kama kisu butu.. hakina uwezo wala uthubutu wa kutoka hadharani kukemea ufisadi wala uovu wa aina yoyote kwa sababu chenyewe ndio kinara wa uovu hivyo ni genge la wasakatonge na wahalifu wajasiriamali wa kisiasa.
 
TUNASUBIRI ACT WAZALENDO KUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI 2020 WAKATI CDM IMEFARIKI
 
TUNASUBIRI ACT WAZALENDO KUWA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI 2020 WAKATI CDM IMEFARIKI
Hii tune ya CHADEMA kukosa dira na mwelekeo haina collabo yake? Maana yake miaka nenda miaka rudi ni hiyohiyo lakini inashindwa kuhit huku CHADEMA kikizidi kuwika na kuchanja mbuga
 
uliyekosa dira ni wewe na ukabulu wenu
 
Mbona bado Tundulissu anakemea
 
Kweli viongozi wa chadema hawana uwezo wa kupinga ufisadi lakini wanachama wa chadema bado wanachukia ufisadi. Chadema inatakiwa isafishwe kwa kuondoa uongozi ulikuwepo madarakani ili chama kijisafishe.
Jifunzeni kwa CCM, wamefanikiwa kuwatowa mafisadi kama lowassa na wenzake, na kufanikiwa kuchukuwa urais na viti vingi vya ubunge. JPM akichukuwa uongozi wa chama mafisadi zaidi wataondolewe kwenye uongozi.
 
nakuhurumia sana kwa mahaba yasiyojali sababu
njaa yako mbaya sana. itakuumbua
Haya maneno yapo tu kila siku hasa kwa watu dhaifu wa hoja hebu turudi kwenye uhalisia Kama kweli CHADEMA inapoteza dira na mwelekeo... Wote waliokitabiria mabaya hiki chama leo wamefutika kwenye ulimwengu wa siasa na wengine wako njiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…