Nawaomba wadau wa Chadema watupe majibu kwa nini hawana diwani hata mmoja katika majimbo yafuatayo:-
Mtwara Mjini, Masasi, Newala, Mtwara Vijijini, Tandahimba, Nanyumbu, Lulindi, Lindi Mjini, Mtama, Liwale, Nachingwea, Kilwa Kaskazini, Kilwa Kusini, Kibaha Mjini, Kibaha Vijijini, Mafia, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe, Majimbo ya Pemba na Unguja, Tanga Mjini, Muheza, Pangani, Mkinga, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Bumbuli, Temeke, Ilala,Kigamboni, Kinondoni. Tunduru Kaskazini, Tunduru Kusini, Namtumbo, Mbinga Mashariki, Mbinga Magharibi, Peramiho
Wanazi wa Chadema leteni majibu
Nawaomba wadau wa Chadema watupe majibu kwa nini hawana diwani hata mmoja katika majimbo yafuatayo:-
Mtwara Mjini, Masasi, Newala, Mtwara Vijijini, Tandahimba, Nanyumbu, Lulindi, Lindi Mjini, Mtama, Liwale, Nachingwea, Kilwa Kaskazini, Kilwa Kusini, Kibaha Mjini, Kibaha Vijijini, Mafia, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe, Majimbo ya Pemba na Unguja, Tanga Mjini, Muheza, Pangani, Mkinga, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Bumbuli, Temeke, Ilala,Kigamboni, Kinondoni. Tunduru Kaskazini, Tunduru Kusini, Namtumbo, Mbinga Mashariki, Mbinga Magharibi, Peramiho
Wanazi wa Chadema leteni majibu
Weka kiporo hilo swali hadi 2016 baada ya uchaguzi mkuu wa 2015.Nawaomba wadau wa Chadema watupe majibu kwa nini hawana diwani hata mmoja katika majimbo yafuatayo:-
Mtwara Mjini, Masasi, Newala, Mtwara Vijijini, Tandahimba, Nanyumbu, Lulindi, Lindi Mjini, Mtama, Liwale, Nachingwea, Kilwa Kaskazini, Kilwa Kusini, Kibaha Mjini, Kibaha Vijijini, Mafia, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe, Majimbo ya Pemba na Unguja, Tanga Mjini, Muheza, Pangani, Mkinga, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Bumbuli, Temeke, Ilala,Kigamboni, Kinondoni. Tunduru Kaskazini, Tunduru Kusini, Namtumbo, Mbinga Mashariki, Mbinga Magharibi, Peramiho
Wanazi wa Chadema leteni majibu
Hizi habari za Chadema, chadema, chadema vs CCM mpaka zinachosa sasa na kukera, kwani ulitaka CDM wawe na madiwani nchi nzima? inakuwa sasa kama chadema na ccm wanagombania mke au wamechukuliana waume? Khaa! kwanini usuwaulize hao madiwani waliopo whichever party they belong wamewaletea maendeleo gani katika hizo kata waliowachagua? we mtu saa tano za usiku bado unaiwaza chadema badala ya kulala ukafaidi usingizi wako, sasa wakishakujibu kwa nini hawana madiwani then what? inaudhiii.
Wewe ondoa longo longo zako. Unachokisema wala hukifahamu.
Kama bandiko hukulipenda, kwa nini unapoteza muda kusoma lote na ku-reply.
Usifiche ukweli wa jambo kwa mgongo wa marumbano ya kiitikadi.
Kwa akili zako unafikiri kila anatembelea au kupost JF basi yuko Tanzania.
Usitake kuleta dictatorial mentality hapa JF ili watu wafanye kile unachokitaka/kukipenda.
Kama huwezi kujibu na kuchangia hoja, una choice mbili, ignore or skip
Hivi huko kuna wakristo kweli?Nawaomba wadau wa Chadema watupe majibu kwa nini hawana diwani hata mmoja katika majimbo yafuatayo:-
Mtwara Mjini, Masasi, Newala, Mtwara Vijijini, Tandahimba, Nanyumbu, Lulindi, Lindi Mjini, Mtama, Liwale, Nachingwea, Kilwa Kaskazini, Kilwa Kusini, Kibaha Mjini, Kibaha Vijijini, Mafia, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe, Majimbo ya Pemba na Unguja, Tanga Mjini, Muheza, Pangani, Mkinga, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Bumbuli, Temeke, Ilala,Kigamboni, Kinondoni. Tunduru Kaskazini, Tunduru Kusini, Namtumbo, Mbinga Mashariki, Mbinga Magharibi, Peramiho
Wanazi wa Chadema leteni majibu
Tupo tunakuja mkuu tumekuskia
Pia Kondoa Kaskazini na Kusini hakuna diwani wa CDM kwa Lusinde nako CDM hawana uongozi wala hawajawahi kutia mguu
imegusa penyewe?
Hivi huko kuna wakristo kweli?
Bora umeliona hilo mkuu, mimi kuna wabunge wa CDM nawafahamu ebwane, mtu alikuwa mama wa ndani lakini kwa vile anajuana na kiongozi wa CDM wilaya akaukwaa, hivi sasa kuna mvutano ndani ya hiyo familia baba kalalamika hadi kachoka.Hizi habari za Chadema, chadema, chadema vs CCM mpaka zinachosa sasa na kukera, kwani ulitaka CDM wawe na madiwani nchi nzima? inakuwa sasa kama chadema na ccm wanagombania mke au wamechukuliana waume? Khaa! kwanini usuwaulize hao madiwani waliopo whichever party they belong wamewaletea maendeleo gani katika hizo kata waliowachagua? we mtu saa tano za usiku bado unaiwaza chadema badala ya kulala ukafaidi usingizi wako, sasa wakishakujibu kwa nini hawana madiwani then what? inaudhiii.
labda tukuulize wewe muumini wa siasa za jussa ladhu