Travelogue_tz
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 855
- 1,224
Habari wadau.
Binafsi naushukuru sana mwaka 2014, Ni mwaka ambao uliamua hatma ya Upinzani na Chadema kwa ujumla.
Ni mwaka wa misukosuko ndani ya Chadema, Bila mwaka 2014 hakika tusingekuwa na chadema imara wala UKAWA. Kupitia misukosuko hiyo Uongozi wa chadema ulitumia fursa hiyo muhimu kujenga chama imara zaidi.
Mwaka 2015 chadema ipo imara zaidi kujiandaa na kazi za kisiasa. Wakati Chadema ikifurahia mazingira bora zaidi CCM ina kazi ngumu zaidi kubwa ni ile ya Makundi ya Uraisi, Kupoteza mvuto na tuhuma lukuki za ufisadi huku kukiwa na ushahidi usio shaka kabisa kuwa viongozi wake wakuu wamekwama.
CCM imeshindwa kusuluhisha makundi ya kisiasa kwa Miaka 10. CCM imekumbatia ufisadi kwa kiwango cha kutisha. Na sasa inaingia 2015 huku ikiwa haina hata tone la historia nzuri.
UKAWA INAPASWA KUTUMIA FURSA HII KUTUONGOZA WANANCHI KULETA MABADILIKO.
Binafsi naushukuru sana mwaka 2014, Ni mwaka ambao uliamua hatma ya Upinzani na Chadema kwa ujumla.
Ni mwaka wa misukosuko ndani ya Chadema, Bila mwaka 2014 hakika tusingekuwa na chadema imara wala UKAWA. Kupitia misukosuko hiyo Uongozi wa chadema ulitumia fursa hiyo muhimu kujenga chama imara zaidi.
Mwaka 2015 chadema ipo imara zaidi kujiandaa na kazi za kisiasa. Wakati Chadema ikifurahia mazingira bora zaidi CCM ina kazi ngumu zaidi kubwa ni ile ya Makundi ya Uraisi, Kupoteza mvuto na tuhuma lukuki za ufisadi huku kukiwa na ushahidi usio shaka kabisa kuwa viongozi wake wakuu wamekwama.
CCM imeshindwa kusuluhisha makundi ya kisiasa kwa Miaka 10. CCM imekumbatia ufisadi kwa kiwango cha kutisha. Na sasa inaingia 2015 huku ikiwa haina hata tone la historia nzuri.
UKAWA INAPASWA KUTUMIA FURSA HII KUTUONGOZA WANANCHI KULETA MABADILIKO.