CHADEMA hebu mtueleze hii 'Critical but stable' inamaanisha nini au ni lugha ya upigaji?

Rejea utafiti wa TWAWEZA utagundua aliyeuliza swali anatoka upande gani.

Viongozi wao wanawasisitiza wajue kusoma na kuandika tu.
Na tangu kauli za kuwa viongozi wanatakiwa wawe na K tatu,kumejitokeza wimbi kubwa sana la watu wanaoipigania CCM kwa lengo la kupewa uongozi. Hii ina maana kuwa wale wa KKK wameiona fursa ya kuwa viongozi,hivyo wanajitahidi ili waonekane,kwani ndio wakati wao huu.
 
Kadiri TL anavyopata nafuu ndio terminology za ajabu ajabu zitaendelea kutolewa na viongozi pendwa wa chadema ili michango izidi kumiminika!
Natabiri TL akikaribia kutoka hosp (kwa msaada wa Mungu atatoka) watakuja kutuambia "hali yake imezorota sana, inabidi apelekwe marekani haraka kwa dege binafsi.......makamanda tuzidi kuchanga!"
 
Kama upo critical huwezi kuwa stable na kama ni stable huwezi kuwa critical, nimechanganya nijuzeni
 
Wewe umechangia nini so far? Roho zinawauma kwa kuwa kusudio lenu limeshindwa! Shenzi! Unauliza gharama wskati hujachangia chochote. Mxiuuu,!
 
Ujinga siyo ugonjwa, soma post za wenzako, zipo zitakazokuelimisha. Wapo watu humu ambao hawasumbuliwi na itikadi za vyama. Wameshaeleza maana ya "Critical but stable. Kama una mashaka nao unaweza uka-google utapata maana yake. Mbona simple tu, habari ya kusema ni msimamo wa Chadema huo ni ulimbukeni.

Ulimbukeni ndiyo nini?
 
Naona hilo neno limetamalaki sana kwenye matibabu ya Lissu. Nilianza kulisikia kwa Mbowe nikaja kulisikia tena kwa Msigwa, hebu kuweni wawazi mnamaanisha nini?

Pamoja na kwamba tafsiri yake inafahamika lakin kwanini iwe kama wimbo? Hebu mtoe taarifa rasmi ya hali ya Lissu kwa lugha zinazoeleweka kwa kila Mtanzania maana mnatutia mashaka.

Suala la Lissu lisije likawa ni daraja la kutunisha mifuko.

Uwazi upi unaowauliza chadema? unasema tafsiri inafahamika, unataka taarifa rasmi ipi?, hali ya Lissu wamewaambia NI "CRITICAL BUT STABLE". Lugha zinazoeleweka kwa kila mtanzania ni zipi? Unataka hata wasiojua kiingereza waelewe? Watafsirie au wawekee wakalimani. Mashaka yako ni haki yako! lakini kila mwenye mashaka haswa kwa hili la Lissu ana walakini mkubwa, anaweza kwa namna moja au nyingine akawa anajua au sehemu ya madhila yaliyompata Lissu.

hao chadema Lissu ni mgonjwa wao, kwa nini watu wafuatilie sana watake kujua anaendeleaje? ni heri au shari jamani? Nilifikiri kuwa watz wote kwa sasa tungeshirikiana kupata majibu ya wazi na sahihi tokwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama. Hilo ndilo tunatakiwa tufuatilie kwa bidii.

Unadiriki kusema swala la Lissu lisije likawa ni daraja la kutunisha mifuko. Huo ni ufitini na uchanganishi kati ya wanaomuuguza Lissu na wanaomchangia, na kwa kufanya hivyo indirectly unawashawishi watu wanaotoa michango yao wasitoe! ili nini? ni ili Lissu akose msaada adhurike!? I can only advice you to be extra careful with your words.

Kwa taarifa yako kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi hata jambazi akipigwa risasi asipokufa ana haki ya kuhudumiwa mpaka apone. LASTLY I CALL UP FOR ALL TANZANIANS AND PEOPLE WHO RESPECT THE RIGHT TO LIVE, TO SYMPATHETICALLY DONATE FOR THE NEEDS OF HON. TUNDU ANTIPAS LISSU.
 
Kama upo critical huwezi kuwa stable na kama ni stable huwezi kuwa critical, nimechanganya nijuzeni
Ndiyo umechanganya!

Unapokuwa critical ni kwamba uko mahututi na unahitaji uangalizi wa karibu wa kitabibu! Wanaposema BUT STABLE wana maana kuwa hali yake haizoroti kiasi cha mwili wake kushindwa kuhimili matibabu!

Hivyo critical but stable ni kwamba yuko mahututi lakini mwili unajiimarisha kimatibabu!!!
 
Naona hilo neno limetamalaki sana kwenye matibabu ya Lissu. Nilianza kulisikia kwa Mbowe nikaja kulisikia tena kwa Msigwa, hebu kuweni wawazi mnamaanisha nini?

Pamoja na kwamba tafsiri yake inafahamika lakin kwanini iwe kama wimbo? Hebu mtoe taarifa rasmi ya hali ya Lissu kwa lugha zinazoeleweka kwa kila Mtanzania maana mnatutia mashaka.

Suala la Lissu lisije likawa ni daraja la kutunisha mifuko.
Wewe acha kuzingua,inaonekana hujuwi maana yake.Je na lile neno maarufu sana liitwalo kuwashwa washwa unajuwa maana yake?Maana wewe unawashwa na chadema.
 
Nakushukuru general Mangi kwa jibu lako zuri, umetumia hekima kwani kuna aliyejibu matusi. Mimi simtusi ila nakubali kwani hakuna mkamilifu
 
Nakushukuru general Mangi kwa jibu lako zuri, umetumia hekima kwani kuna aliyejibu matusi. Mimi simtusi ila nakubali kwani hakuna mkamilifu
Kaka nakuongezea nyama ili uwezi kufaham pia haya maneno
Haya ni maneno yanayo uonyesha hatar
Threat level .... severe ,critical ,stable lkn hilo neno critical ndio threat level ya juu sn chochote kinaweza kutokea wakat wowote.
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
kwa bahati mbaya sana maelezo yako hayajafafanua kwa ufasaha maneno husika na matumizi yake.
 
Naona hilo neno limetamalaki sana kwenye matibabu ya Lissu. Nilianza kulisikia kwa Mbowe nikaja kulisikia tena kwa Msigwa, hebu kuweni wawazi mnamaanisha nini?

Pamoja na kwamba tafsiri yake inafahamika lakin kwanini iwe kama wimbo? Hebu mtoe taarifa rasmi ya hali ya Lissu kwa lugha zinazoeleweka kwa kila Mtanzania maana mnatutia mashaka.

Suala la Lissu lisije likawa ni daraja la kutunisha mifuko.
Unataka mgao km ilivyo huko ccm?Kwani kinakuuma umechangia kitu?Nyie ndio wale hata ktk ibada hamtoi mkitaka waongoza ibada waishi kwa dhiki. Umelaaniwa kuliko laana yenyewe. dio unajiona umetoka na strategy sana.Kutwa mnahangaika na Lissu na issue za chadema km wanwake wa waswahili .Kutwa kupikia nje ili waone kila tukio, halafu wanasema wengine kuwa wana vyumba vichafu ,kumbe vyao ndio makazi ya panya, na kuingia ni usiku kwa usiku au kwenda kubadili nguo ili aende ktk sughuli.
 
kwa bahati mbaya sana maelezo yako hayajafafanua kwa ufasaha maneno husika na matumizi yake.
Na huo ndio udhaifu,ambao kila binadamu anao.Ni jukumu la wewe kunisaidia kwa kufafanua kwa ufasaha ili nipate kujifunza.
 
Mkuu kumbe tupo wengi wenye kujiuliza hilo swali..
CRITICAL lakini STABLE..
mimi nafkiri huu usemi unafananishwa na ule
"REPEAT AGAIN"
Ndio naelewa kwanini viongozi wa dini wana shida sana nyie ktk issue zinazohusu sadaka, au mafanikio ya nyumba za ibada.Mnadhani kila mtu anaendekeza tumbo tuu km nyie. Hiyo ni lugha ya kitaalamu. NI KWAMBA HALI NI MBAYA ILA HAIBADILIKI BADILIKI KILA MARA KWA NAMNA HATARISHI. Hali ikiwa stable unaweza sema kila kitu ni predictable, unaweza subiri mwili uendelee na kupona,bila kutarajia tatizo jipya au la ghafla.
 
Kadiri TL anavyopata nafuu ndio terminology za ajabu ajabu zitaendelea kutolewa na viongozi pendwa wa chadema ili michango izidi kumiminika!
Natabiri TL akikaribia kutoka hosp (kwa msaada wa Mungu atatoka) watakuja kutuambia "hali yake imezorota sana, inabidi apelekwe marekani haraka kwa dege binafsi.......makamanda tuzidi kuchanga!"
...acha upumbav...hela yakuwachangia Chadema umeweka kwenye mfuko gani hadi
uje kumwaga povu hapa....acha tumchangie ndugu yetu haijalishi zitaliwa ngapi..cha muhimu Lisu apone hayo Mawazo yenu ya Kimaskini peleka kwa NZI wenzio Jinga kabisa
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
Hongera sana brother.Nafkiri wale waliosoma kiingereza wakiwa wanaota moto sasa watakuwa wamekuelewa vizuri na sijui km kuna mtu atahoji zaid kuhusu hili!!!!
 
Back
Top Bottom