CHADEMA hawana nia ya kukamata dola

CHADEMA hawana nia ya kukamata dola

laki si pesa.

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
9,984
Reaction score
9,757
CHADEMA hawana
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.
 
CHADEMA hawana
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.

Kwa huu mtindo wa kupigana risasi hata wangekuwa na vyote ulivyovitaja hapo juu wangepotea tu.
 
Wote wamesusa bado wewe Tu ndiye unahangaika Na cdm
 
Nani kakwambia watanzania wanahitaji magazeti,TV,radio na website???
 
Tatizo la elimu katika nchi yetu, linajionyesha waziwazi.
 
Na wewe kwa akili zako za KIZWAZWA ili kuingia madarakani ni lazima uwe na hivi ndiyo upate uhalali wa kushika madaraka!!!! Hebu tuwekee vipengele vya katiba vinavyounga mkono huu UZWAZWA wako.

CHADEMA hawana
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.
 
Chadema hawajawahi kua na nia ya kwenda ikulu,wao ni usanii na mizaha tu ili kutafuna ruzuku
Ukitaka kujua kuwa chadema ni watu wa mizaha ni pale walipokua wanatoa povu kutangaza Ukuta,waka usogeza mbele halafu wakatangaza Kata funua bila kuelezea hatima ya ukuta.Mwenyekiti analeta maneno ya kihuni eti kata funua
 
subiri jf nao wazisuse habari za CHADEMA sijui mtakimbilia wapi
3deeccc8d00c81c436cc16f6b5313ebd.jpg
zaitaanza za CCM
 
Kwahiyo pesa zakufanyia hayo mmegawa kwa Watanzania siyo?
Muulize mleta Uzi na Mimi nilimuuliza hilo swali wewe kwa akili yako watanzania wanahitaji magazeti kuliko elimu,wanahitaji radio kuliko matibabu???
 
CHADEMA hawana
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.
Kwa Uwezo wako wa kufikiri kumiliki gazeti, tv, redio, na website ndo kushika dola.

Chama Cha Majitaka
 
CHADEMA hawana
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.
Sasa gazeti la chadema si litafungiwa siku hiohio
Hizo tv na redio hazitakaa zipewe kibali
Wewe mtanzania mwenzetu inaonekana hujui kabisa kuwa hakuna uhuru to that extent
 
Kuna mtandao mmoja inaitw Chadema in Blood wa FB, Dow Dow siku hizi haufikishi ha 34 likes
 
Chadema kushika dola bado sana.
Chama ndio kwanza kinaanza kuwa na sura ya kitaifa.
Kuna Maeneo hakuna hata diwani wa Chadema achilia mbali mbunge.
Yani mkoa mzima kwa mfano Dodoma hawana hata mbunge mmoja.
Wajipange kwanza huku chini wasikimbilie Ikulu.
Walishindwa mwaka 2015 wajipange kwanza mpka 2025.
JPM ni risasi ya mwisho ya CCM. Tumwache amalizie muda wake wa miaka 10.

2025 wapinzani wakijipanga vizuri bila ubinafsi wataingia Ikulu kilaini kabisa. Kwani mbivu na mbichi za utawala wa awamu ya tano utakua umewafikia wananchi hasa kiuchumi.
Kama ni dawa itakua imeingia vizuri zaidi .

Vinginevyo watanzania waanze sasa kudai katiba mpya ili pawe na tume huru ya uchaguzi na matokeo ya Rais yahojiwe mahakamani.
 
Chadema kushika dola bado sana.
Chama ndio kwanza kinaanza kuwa na sura ya kitaifa.
Kuna Maeneo hakuna hata diwani wa Chadema achilia mbali mbunge.
Yani mkoa mzima kwa mfano Dodoma hawana hata mbunge mmoja.
Wajipange kwanza huku chini wasikimbilie Ikulu.
Walishindwa mwaka 2015 wajipange kwanza mpka 2020.
JPM ni risasi ya mwisho ya CCM.
2020 wapinzani wakijipanga vizuri bila ubinafsi wataingia Ikulu kilaini kabisa. Kwani mbivu na mbichi za utawala wa awamu ya tano utakua umewafikia wananchi hasa kiuchumi.
Kama ni dawa itakua imeingia vizuri zaidi .

Vinginevyo watanzania waanze sasa kudai katiba mpya ili pawe na tume huru ya uchaguzi na matokeo ya Rais yahojiwe mahakamani.
CHADEMA wanajidanganya ndio hicho...wanadhani hali ngumu ya uchumi ndio itakuwa kigezo cha wananchi kuwapigia kura .....wangetunyesha kwa vitendo watafanya nini sio kusubiri huruma wakati nao ni mafisadi tu mtu kama Mbowe atamsaidia nini mwananchi wa hali ya chini?
 
Back
Top Bottom