laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,757
CHADEMA hawana
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.
1. Gazeti
2. TV
3.Redio
4. Website
Habari zao zote wanategemea viclip vya you tube na kutoka page ya Mange Kimambi. Ruzuku wanapokea zaidi ya milioni 300 wameshindwa hata kumiliki gazeti au hata TV? Sasa hivi wamiliki wa vyombo vya habari vya binafsi wameanza kuzisusa habari za CHADEMA huu ndi mwanzo wa CHADEMA kupotea kwenye ramani ya siasa.
