Unawivu wa kike nduguViongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema?
Mnamvunjia heshima Rais, chawa wake wakikasirika msije kusema nchi haina demokrasia maana mmevuka mipaka.
Huyo huyo mnaemvunjia heshima ndio mnatumia majengo yake ya serikali kupata huduma.
Mimi nawaambia tu na kuwashauri kuweni na heshima kwa kiongozi wa nchi, Leo Mbowe anazunguka nchi nzima na hakuna anayemfanyia vurugu wala dhihaka, ndio democracy, sasa iweje mmeamua kufanya fujo huko arusha, halafu mtu mwenyewe mnayekwenda kumpokea alikimbia mwenyewe nchi kwa maslahi yake binafsi, Lema ana impact gani?
Who is Lema in this country, amewafanyia nini cha maana sana hadi Leo muache shughuli za kutafuta mkampokee, halafu mlivyokuwa hamjui itifaki, mlianza kumpokea Tundu Lissu makamu halafu mtu mmoja anaitwa Lema ndio anafuata, kwahiyo nyie Lema ni zaidi ya Lisuu, mxiuuuu
Lema hawezi kumzuia rais kwenda Arusha, lakini wananchi wanao uhuru wa kuchagua wampokee nani kati ya lema na rais. Msiwapangie.Kwahiyo Lema Ndio Amzuie Rais!!
Hamjakutana na Kisanga nyie
Hizi akili zenu kwamba kiongozi akitua shughuli na mipango ya watu isimame na nchi yenyewe maskini hii sijui mlizitoa wapi.Viongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema?
Mnamvunjia heshima Rais, chawa wake wakikasirika msije kusema nchi haina demokrasia maana mmevuka mipaka.
Huyo huyo mnaemvunjia heshima ndio mnatumia majengo yake ya serikali kupata huduma.
Mimi nawaambia tu na kuwashauri kuweni na heshima kwa kiongozi wa nchi, Leo Mbowe anazunguka nchi nzima na hakuna anayemfanyia vurugu wala dhihaka, ndio democracy, sasa iweje mmeamua kufanya fujo huko arusha, halafu mtu mwenyewe mnayekwenda kumpokea alikimbia mwenyewe nchi kwa maslahi yake binafsi, Lema ana impact gani?
Who is Lema in this country, amewafanyia nini cha maana sana hadi Leo muache shughuli za kutafuta mkampokee, halafu mlivyokuwa hamjui itifaki, mlianza kumpokea Tundu Lissu makamu halafu mtu mmoja anaitwa Lema ndio anafuata, kwahiyo nyie Lema ni zaidi ya Lisuu, mxiuuuu
Roho yako iko hatarini kukutoka kwa chuki iliyojaa ndani, huyo ndio Lema bana!
Ratiba ya kuja Lema ilitumwa mwezi mmoja kabla,Mama yako kaingilia ili kuvuruga mapokezi ya Lema.Viongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema?
Mnamvunjia heshima Rais, chawa wake wakikasirika msije kusema nchi haina demokrasia maana mmevuka mipaka.
Huyo huyo mnaemvunjia heshima ndio mnatumia majengo yake ya serikali kupata huduma.
Mimi nawaambia tu na kuwashauri kuweni na heshima kwa kiongozi wa nchi, Leo Mbowe anazunguka nchi nzima na hakuna anayemfanyia vurugu wala dhihaka, ndio democracy, sasa iweje mmeamua kufanya fujo huko arusha, halafu mtu mwenyewe mnayekwenda kumpokea alikimbia mwenyewe nchi kwa maslahi yake binafsi, Lema ana impact gani?
Who is Lema in this country, amewafanyia nini cha maana sana hadi Leo muache shughuli za kutafuta mkampokee, halafu mlivyokuwa hamjui itifaki, mlianza kumpokea Tundu Lissu makamu halafu mtu mmoja anaitwa Lema ndio anafuata, kwahiyo nyie Lema ni zaidi ya Lisuu, mxiuuuu
Wewe ni nani katika Tanzania hiiTakataka lema ndio nani huyo kikaragosi
USSR
Na imebuma! Nasikia viongozi walio lazimika kumpokea Rais walikuwa wamenuna maana wamekosa tukio muhimu ambalo ni nadra kuliona kwa miaka mingi! Furaha ya kumpokea mtu wa watu!Ratiba ya kuja Lema ilitumwa mwezi mmoja kabla,Mama yako kaingilia ili kuvuruga mapokezi ya Lema.
Acha kuishi kwa Mazoea..A wise man changes his mind....a fool never will🏃🏃🏃Hawa watu wakitujibu vibaya tunakasirika
Badilisha hiyo kauli majengo ni kodi zetu wote
Ccm tuna vipaumbele na strategies zetu acha wafurahi uchaguzi tunashinda sisi
Aiseee hongera sana chademaNa imebuma! Nasikia viongozi walio lazimika kumpokea Rais walikuwa wamenuna maana wamekosa tukio muhimu ambalo ni nadra kuliona kwa miaka mingi! Furaha ya kumpokea mtu wa watu!
Lazima akamsalimie jambazi Sabaya na kumkumbusha maonyo aliyompaTeh teh teh...Lema ana vituko kweli kweli....ni vyema akamsalimie pia mbunge wa Arusha Mh.Gambo.
🤣🤣🤣Kiongozi wa nchi, ataendaje Arusha il hali akijua wananchi wapo kwenye mapokezi ya Lema.
Eti majengo yakeee! NyanokoViongozi wa Chadema mnataka kuongoza nchi kwa namna hii kweli? Kiongozi wa nchi kaingia Arusha kwa shughuli za kiserikali halafu nyie mnafanya vurugu barabarani na bodaboda eti tunamsubiria Lema?
Mnamvunjia heshima Rais, chawa wake wakikasirika msije kusema nchi haina demokrasia maana mmevuka mipaka.
Huyo huyo mnaemvunjia heshima ndio mnatumia majengo yake ya serikali kupata huduma.
Mimi nawaambia tu na kuwashauri kuweni na heshima kwa kiongozi wa nchi, Leo Mbowe anazunguka nchi nzima na hakuna anayemfanyia vurugu wala dhihaka, ndio democracy, sasa iweje mmeamua kufanya fujo huko arusha, halafu mtu mwenyewe mnayekwenda kumpokea alikimbia mwenyewe nchi kwa maslahi yake binafsi, Lema ana impact gani?
Who is Lema in this country, amewafanyia nini cha maana sana hadi Leo muache shughuli za kutafuta mkampokee, halafu mlivyokuwa hamjui itifaki, mlianza kumpokea Tundu Lissu makamu halafu mtu mmoja anaitwa Lema ndio anafuata, kwahiyo nyie Lema ni zaidi ya Lisuu, mxiuuuu
Kisanga Kipi Tena Magufuli yalimshinda akatema tambuu! Nani Tena?Kwahiyo Lema Ndio Amzuie Rais!!
Hamjakutana na Kisanga nyie